Bei ya mafuta yapanda maradufu. Petroli bei yaongezeka kwa kati ya Tsh. 100 - 321

kuna jama zangu wanasema hata vi its na vits sasa vinazimika njiani , yani ni shida sana lakini wanaupiga mwingi mnooooooo, fiisiiemu hoyeeeeeeeeeeeeee, ukiangalia wenzenu wanaopitishia mafuta nchini kwenu kwakua hawana bandari wao mafuta sio ishu bei za kawaida sana, na ukiwa mikoa ya mipakani ukilogwa uvuke boda ukajaze mafuta unaambiwa mhujumu, kuna kitu hakijakaa sawa mahala
 
Bei ya mafuta imepaaa hadi 2900+ kwa mikoani sasa tutegemeee Passo na babywalker zingine kupanda bei maradufu
Hapa passo inaenda kuwa gari ya kigentle na TZ vitu vikipanda bei hata supply ikirudi normal vyenyewr vinapungua kidogo tu
 
Bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepanda ila mechanism ya kuyapata mafuta huwa sio sawa Na pipi. Mafuta huendi Na kununua tu. Yanaagizwa kwa bulk purchase.

Halafu yanachimbwa, kusafishwa Na kusafirishwa ni span ya three month. How come price ireflect price ya February 25? Pia soko la Brent crude oil at the point no $105. Just bado hakuna justification ya price kuongezeka vile. Inabidi tuulize maswali kitaalamu. We ain't stupid!!
 
Mafuta yapo ila inasubiriwa saa 6 usiku ili stock iliopo iuzwe kwa faida madhubuti kabisa
Hi logic ya kutangaza Bei ya mafuta kila mwisho wa mwezi siyo mantiki yake mnk mtu anaweza kuadimisha stock ili asubiri Bei mpya Sasa ona jan mafuta 2540 leo asb 2900 mbn tunawafadisha wafanyabiashara
 
Kiukweli yule mwamba alikuwa na focus Kali saaaaana japo alikuwa na matatizo yak,tena angeshusha Kodi kwny mafuta ili wananchi wake wasiumizwe, alikuwa na maamuz Sana,huyu wa sasa ni km kivuli tu yupo yupo kila kitu anashauriwa hana maamuz
 
Kweli kabisa, kama alivyodhibiti bei ya sukari. Sasa hivi akina Makonda na Sabaya wangekuwa wanakagua magodauni kukamata mafuta "yaliyofichwa"šŸ’
 
Mama siyo rais yuko kwa mujibu tu wa katiba.

Hana machungu na wananchi kabisa.

RIP JPM
 
Sasa ndio tutajua tuna kiongozi mbele au tuka kama watoto wa bata tu.

On crisis ndio kiongozi hujulikana. PK ameshatoa muelekeo nafuu kwa nchi yake.

Sisi bado tunatafuta maridhiano , na mipasho mingi
 
Hi logic ya kutangaza Bei ya mafuta kila mwisho wa mwezi siyo mantiki yake mnk mtu anaweza kuadimisha stock ili asubiri Bei mpya Sasa ona jan mafuta 2540 leo asb 2900 mbn tunawafadisha wafanyabiashara
Akipiga 400 zake hizo kwa litre 100,000,000 kwenye sheli zake zote ni unyama tuu
 
Tatizo la Dunia
Screenshot_20220406-100719.jpg
 
Back
Top Bottom