Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
Kuna wanaume ambao hawabebeki wala hawasukumiki!Mafanikio ya watu wawili yanategemea hao watu wawili kua kwenye mstari mmoja!!Weakness zipo ila zinakabilika...tatizo ni pale mtu anapokua anazifahamu weakness zake ila hataki kuzikabili!Hapo hata mwanamke afanye nini hawezi kukufanikisha bila ushirikiano!