Beautiful Africa-Angola.

Beautiful Africa-Angola.

...sijui!na ninakukumbusha tu siyo kila kitu lazima uwe unakijua Kama unajua hujui tulia ufundishwe...siasa na uswahili siyo nguvu/kipimo cha uelewa ulionao....!!Siyo mada hii tu ni nyingi tu unarefusha mdomo na kutuchanganyia madesa....
Tatizo unataka kuandika sana wakati hujui kusoma.
 
Inawezekana kabisa unakerwa na ukweli, au hata kama siukweli, unakerwa na watu kuwa na mawazo tofauti.

Hii sababu ya watu kuona mawazo tofauti ni keroni moja kati ya vitu vinavyosababisha umasikini wetu.

Ukweli ni kwamba, kitu chochote kikiangaliwa kijuujuu, kukubaliana si jambo gumu.

Na kitu chochote kikianza kuchunguzwa kwa undani, kutokubaliana ni rahisi.

Ukikataa kutokubaliana umekubali tuangalie mambo kijuujuu na umekataa kuchambua mambo kwa undani.

Na JF kama tunataka tuwe tunaishikwa motto ya "Home of Great Thinksers" na "Where we dare to talkopenly", kutokubaliana si jambo la ajabu.

Kwa sababu wabongo wengi kwanza hata kuandika kwa kauli nyoofu ni shida, mpaka tubalasane ndiyo mtu anakubali kwamba alichoandika hapa ni ushairi tu wa kuonesha mapenzi yake kwa Angola, si fact.

Sasa kama nimeonesha kwa mapenzi yangu we kipi kimekuleta hapa nimetuma picha nzuri basi ila sikuja kuleta picha za kuchambua mji wa Angola kesho naleta za Moroco na South africa sawa.yan sehem nilizopita
 
Sasa kama nimeonesha kwa mapenzi yangu we kipi kimekuleta hapa nimetuma picha nzuri basi ila sikuja kuleta picha za kuchambua mji wa Angola kesho naleta za Moroco na South africa sawa.yan sehem nilizopita
1. Hiini public forum.

2. Wewe ndiye uliyeninukuu mimimwanzo kabisa. Ukataka kuleta uongo kwamba Luanda kuna kitu cha pekee, uongo ambaompaka sasa umeshindwa kuutetea.

3.Umetaka kuleta uongo na ujinga kwamba kununua vitu kwa bei ya juu bila sababu ya kueleweka ni ujanja. Nimekusahihisha kuwa huo ni ujinga, wajanja hawanunui vitu kwa bei ya kupigwa bila sababu ya kueleweka.

Bisha.
 
kwa harakaharaka mleta mada hajatembea sana na pia anakuwa kama anatetea kila kitu about Angola... Mkuu huyo luanda ni takataka tu zunguka zaidi
 
1. Hiini public forum.

2. Wewe ndiye uliyeninukuu mimimwanzo kabisa. Ukataka kuleta uongo kwamba Luanda kuna kitu cha pekee, uongo ambaompaka sasa umeshindwa kuutetea.

3.Umetaka kuleta uongo na ujinga kwamba kununua vitu kwa bei ya juu bila sababu ya kueleweka ni ujanja. Nimekusahihisha kuwa huo ni ujinga, wajanja hawanunui vitu kwa bei ya kupigwa bila sababu ya kueleweka.

Bisha.

Public forum lakin sio kila thread ujibu.


Hakuna mahala nimesema luanda kuna kitu cha pekee lete screenshot nimesema Luanda pazuri nimepapenda na mipicha hyo nimetuma nikasema hata waamerica wanaenda kula bata pale na maisha yanaenda.wewe ukaja na GDP na takataka zako complex kama kesi za makinikia.


Nunua kitu kuzingatia Right quality,Right Price at a right time Mr. mie nilienda kutembea ila sio kufanya reseach Ebooooooooooo weeee mtu kichwa kigumu ka umekula kifuu cha nazi.
 
kwa harakaharaka mleta mada hajatembea sana na pia anakuwa kama anatetea kila kitu about Angola... Mkuu huyo luanda ni takataka tu zunguka zaidi

Thread imeandikwa “Beautiful Africa-Angola shida iko wapi kesho nitakuja Na Beautiful africa -Tanzania utasema Ooh umetembea vingunguti wewe umetembea Tandale wwwe au umetembea vijiji vya Mkambarani sijui gairo sijui Mikumi wewe Utaanza Tz huijui wewe.Waswahil tunwajua akil zenu nimetembea karibu 3/4 ya hii dunia chukua hiyo ukitaka ushaidi njoo PM.
 
Public forum lakin sio kila thread ujibu.

Sio kila thread najibu, lakini wewe hupati kunipangia ipi ya kujibu.

Hakuna mahala nimesema luanda kuna kitu cha pekee lete screenshot nimesema Luanda pazuri nimepapenda na mipicha hyo nimetuma nikasema hata waamerica wanaenda kula bata pale na maisha yanaenda.wewe ukaja na GDP na takataka zako complex kama kesi za makinikia.

Ushakubali kwamba Luanda unapasifia kwa mapenzi yako binafsi tu, si kwa chochote ilicho nacho zaidi ya sehemunyingine.

Na kwa ujuha wakoumekubali kwenda kupigwa huko.

Nunua kitu kuzingatia Right quality,Right Price at a right time Mr. mie nilienda kutembea ila sio kufanya reseach Ebooooooooooo weeee mtu kichwa kigumu ka umekula kifuu cha nazi.

Luanda is among the most expensive cities in the world kufanyamatanuzi, hivyo ukiongeleamatanuzi ya Luanda halafu ukaongelea right price una ji contradict.

Mtu anayeenda kufanya matanuzi Luanda haangalii right price,anasema I have money to burn.

Wewe unaelewa hata unaposimamia?

Unataka right price au unasema una money to burn?
 
Sio kila thread najibu, lakini wewe hupati kunipangia ipi ya kujibu.



Ushakubali kwamba Luanda unapasifia kwa mapenzi yako binafsi tu, si kwa chochote ilicho nacho zaidi ya sehemunyingine.

Na kwa ujuha wakoumekubali kwenda kupigwa huko.



Luanda is among the most expensive cities in the world kufanyamatanuzi, hivyo ukiongeleamatanuzi ya Luanda halafu ukaongelea right price una ji contradict.

Mtu anayeenda kufanya matanuzi Luanda haangalii right price,anasema I have money to burn.

Wewe unaelewa hata unaposimamia?

Unataka right price au unasema una money to burn?

Haya TRA ya angola wamepata kodi yao nimeenda ku burn ela hazikua za baba ako kwa mimi niliienjoy nilichofuata kule na siku zinazid kwenda TUSIPANGIANE(in magu voice) kama niliibiwa lakin nimeinjoy ndio maana nikasema Beautiful of Africa Unaonekana una moto sana usijechoma Jamii forums bure sehem za kuchoma ela zipo kibao tu na sijachoma ela hapo tu sehem kibao nimeenda kuchoma Ela ila Angola wanajua sio kidogo babake
 
Sijajaja ku compare maendeleo ya huko yaliko na huku niliko hayo fungua thread yako halaf ndo ufanye hzo comparison na katika hii thread hakuna mahala nimesema mambo ya maendeleo kichwa cha thread kimejieleza vizur pale juu
Unataka kueleza maendeleo, beautiful africa, wakati kuna watu kama hawa. hakuna beauty yoyote hapo. Jestkilla
poor-people-fo-real-jpg.660977
 
Back
Top Bottom