G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,651
- 8,686
Huyo Isabela mtoto wake ndo tajili mwanamke wa kwanza kwa ukwasi hapa AfricaAngola haikustaili iwe hapo ilipo sasa hivi, hiyo nchi inamafuta lakini raia wake ni maskini wa kutupwa,
Kiufupi mazingira ya hiyo nchi haijaizidi Dar ya Makonda, jaman muwe mnatembea msidanganyike na picha..
Rais wa kwanza wa Angola rais José Eduardo dos Santos ndiyo aliyekuwa anajimilikisha rasilimali za Angola huko akimlimbikizia mali mtoto wake wa kwanza Isabel Dos Santos..
Maisha ya raia wa huko ni bora ya raia wa kigoma ujiji

