Beautiful Africa-Angola.

Beautiful Africa-Angola.

Jestkilla maendeleo lazima yawe peoples centered, siyo object centered. Objects ziwe aides to peoples development. ndio maana nimekuwekea vijiji vya Sweden ambapo maendeleo yako people centered!
Sijajaja ku compare maendeleo ya huko yaliko na huku niliko hayo fungua thread yako halaf ndo ufanye hzo comparison na katika hii thread hakuna mahala nimesema mambo ya maendeleo kichwa cha thread kimejieleza vizur pale juu
 
Hahaha... mbona unajihami saana comrade?
...Kumekuwa na Tabia zinakera humu Jf unakuta mtu katoa mada yake vizuri tu...Sasa mtu anaitoa kwenye uhalisia na analazimisha iwe anavyotaka yeye.....Tujifunze kusikiliza/kuona tisiyopenda kuona/kusikiliza.....Kwani mleta uzi Kakosea kuonyesha Uzuri wa nchi ya Angola!??Sasa watu wamekurupuka na takwimu,GDP,kashfa,maendeleo,Ushindani....wengine ndo wakagoogle na picha za sweden kijijini....Hii ni Afrika yetu haijalishi ipo vipi ni kwetu tu...
 
...Kumekuwa na Tabia zinakera humu Jf unakuta mtu katoa mada yake vizuri tu...Sasa mtu anaitoa kwenye uhalisia na analazimisha iwe anavyotaka yeye.....Tujifunze kusikiliza/kuona tisiyopenda kuona/kusikiliza.....Kwani mleta uzi Kakosea kuonyesha Uzuri wa nchi ya Angola!??Sasa watu wamekurupuka na takwimu,GDP,kashfa,maendeleo,Ushindani....wengine ndo wakagoogle na picha za sweden kijijini....Hii ni Afrika yetu haijalishi ipo vipi ni kwetu tu...
Got you dude... Umesahau JF ni pale tunapokubaliana kutokubaliana.
 
kigoma ujiji ni nchi?
578126_567510616601668_227258602_n.jpg
 
Kumbe hawa jamaa mji wao unazidi hadi Singapore.
Singapore nimost expensive city period, huu wameuona waseme kwa expats kwa sababumaisha ya watu weusi na wageni ni tofauti sana kiasi kwamba huwezi kusemani mji expensive kama kuna watu wanaishi chini ya dola mojakwa siku, wameamuakuishi madongo kuinama huko.
 
Pweza nina allergy nao, kama nilivyona allergy na hadithi za kutungwa zinazotaka kupitishwa kama ukweli.

Kesho napost za Kuleeeeeee kwetu wananijua wanajua wa Angola lazma walishakugongea dem sio kwa povu hili
 
Singapore nimost expensive city period, huu wameuona waseme kwa expats kwa sababumaisha ya watu weusi na wageni ni tofauti sana kiasi kwamba huwezi kusemani mji expensive kama kuna watu wanaishi chini ya dola mojakwa siku, wameamuakuishi madongo kuinama huko.

Weusi
 
Ubeautiful nimeuona kwenye picha ya pili,tatu na ya mwisho.

Natural features kwa fasi ila hayo mengine maghorofa uchwara miyeyusho tu.
 
Pweza nina allergy nao, kama nilivyona allergy na hadithi za kutungwa zinazotaka kupitishwa kama ukweli.
...Kwa hiyo hizo ni picha za kariakoo dar,masaki na oysterbay au Soko matola Mbeya....!?Tuelezee ni picha za miji gani ambayo mleta Uzi ametunga ili kupitishwa kuwa kweli?!?....
 
...Kumekuwa na Tabia zinakera humu Jf unakuta mtu katoa mada yake vizuri tu...Sasa mtu anaitoa kwenye uhalisia na analazimisha iwe anavyotaka yeye.....Tujifunze kusikiliza/kuona tisiyopenda kuona/kusikiliza.....Kwani mleta uzi Kakosea kuonyesha Uzuri wa nchi ya Angola!??Sasa watu wamekurupuka na takwimu,GDP,kashfa,maendeleo,Ushindani....wengine ndo wakagoogle na picha za sweden kijijini....Hii ni Afrika yetu haijalishi ipo vipi ni kwetu tu...
Inawezekana kabisa unakerwa na ukweli, au hata kama siukweli, unakerwa na watu kuwa na mawazo tofauti.

Hii sababu ya watu kuona mawazo tofauti ni keroni moja kati ya vitu vinavyosababisha umasikini wetu.

Ukweli ni kwamba, kitu chochote kikiangaliwa kijuujuu, kukubaliana si jambo gumu.

Na kitu chochote kikianza kuchunguzwa kwa undani, kutokubaliana ni rahisi.

Ukikataa kutokubaliana umekubali tuangalie mambo kijuujuu na umekataa kuchambua mambo kwa undani.

Na JF kama tunataka tuwe tunaishikwa motto ya "Home of Great Thinksers" na "Where we dare to talkopenly", kutokubaliana si jambo la ajabu.

Kwa sababu wabongo wengi kwanza hata kuandika kwa kauli nyoofu ni shida, mpaka tubalasane ndiyo mtu anakubali kwamba alichoandika hapa ni ushairi tu wa kuonesha mapenzi yake kwa Angola, si fact.
 
Back
Top Bottom