Beautiful Africa-Angola.

Beautiful Africa-Angola.

578126_567510616601668_227258602_n.jpg
Mashallah ujiji kama zanzibar
 
Hizi takwimu mpelekee magufuri sie wengine tulienda kutembea ndio maana tumetuma picha hizo tu bila maelezo meeengi. usipaniki hizo $ kadhaa wenzio tulijipiga piga tukaenda kutumia tuone kuna nini mpaka kuwe na gharama hivo
Tatizo unajipigapiga bado.

Ukikua utaacha.
 
Na HII THREAD HAIKUJA KUKAGUA NANI ANAISHI KWENYE MAKARAVATI SIJUI NYUMBA ZA UDONGO WALA KUJUA MIUNDOMBINU INAMSAIDIA NAN NA NANI HII THREAD IMELETA PICHA KAMA UTALII FULL STOP HAYO MENGINE SIJUI MAISHA MABOVU SIJUI UAFRICA NAWACHIA WANASIASA NYIE MAANA KILA MUDA N SIASA.
Is your shift key stuck or something?
 
Inawezekana kabisa unakerwa na ukweli, au hata kama siukweli, unakerwa na watu kuwa na mawazo tofauti.

Hii sababu ya watu kuona mawazo tofauti ni keroni moja kati ya vitu vinavyosababisha umasikini wetu.

Ukweli ni kwamba, kitu chochote kikiangaliwa kijuujuu, kukubaliana si jambo gumu.

Na kitu chochote kikianza kuchunguzwa kwa undani, kutokubaliana ni rahisi.

Ukikataa kutokubaliana umekubali tuangalie mambo kijuujuu na umekataa kuchambua mambo kwa undani.

Na JF kama tunataka tuwe tunaishikwa motto ya "Home of Great Thinksers" na "Where we dare to talkopenly", kutokubaliana si jambo la ajabu.

Kwa sababu wabongo wengi kwanza hata kuandika kwa kauli nyoofu ni shida, mpaka tubalasane ndiyo mtu anakubali kwamba alichoandika hapa ni ushairi tu wa kuonesha mapenzi yake kwa Angola, si fact.
Beatiful Africa-Angola.....!!kwa maana hiyo Kesho Anaweza Akaandika Beatiful Africa-Tanzania...etc....Kulinganisha,siasa,Umaskini,sijui GDP,sweden yote hayo yametoka wapi?!..mbaya zaidi yanaandikwa kwa kumnanga mleta uzi..Tujadili kilichopo
 
...Kwa hiyo hizo ni picha za kariakoo dar,masaki na oysterbay au Soko matola Mbeya....!?Tuelezee ni picha za miji gani ambayo mleta Uzi ametunga ili kupitishwa kuwa kweli?!?....
Fuatilia mjadala, kwani nanikakataa picha?

Unajua kusoma?
 
Beatiful Africa-Angola.....!!kwa maana hiyo Kesho Anaweza Akaandika Beatiful Africa-Tanzania...etc....Kulinganisha,siasa,Umaskini,sijui GDP,sweden yote hayo yametoka wapi?!..mbaya zaidi yanaandikwa kwa kumnanga mleta uzi..Tujadili kilichopo
Unajua kusoma?
 
Singapore nimost expensive city period, huu wameuona waseme kwa expats kwa sababumaisha ya watu weusi na wageni ni tofauti sana kiasi kwamba huwezi kusemani mji expensive kama kuna watu wanaishi chini ya dola mojakwa siku, wameamuakuishi madongo kuinama huko.
Nilitaka kushangaa..

+ Zurich pia --ni kawaida wana Kutoka Zurich kufanya Manunuzi yaa kawaida Vienna au Germany.

shati au saa hazinunuliki.
 
Kwa utajiri wake wa mafuta Na gesi

Hapakilik kwa vipi hivo vitu vya kawaida na maisha yanaenda uzuri picha za cabinda nimetuma kwenye comment flan humu.mafuta na gesi ni vitu vya kawaida.
 
Unajua kusoma?
...sijui!na ninakukumbusha tu siyo kila kitu lazima uwe unakijua Kama unajua hujui tulia ufundishwe...siasa na uswahili siyo nguvu/kipimo cha uelewa ulionao....!!Siyo mada hii tu ni nyingi tu unarefusha mdomo na kutuchanganyia madesa....
 
Back
Top Bottom