mimi-mysef
New Member
- Nov 24, 2017
- 4
- 2
Hawa jamaa wapo vizur...bas tuu Savimbi aliwachelewesha
...Kwa hili Umefail mkuu! Kama Mwanamme Kubali kuwa Umekurupuka. na wengi wanaokurupuka kiuhalisia ni wajinga.....usitake kutunisha msuli wakati Wenye Akili wameshakujua wewe mwisho wako wa kufikiri unaishia wapi....!Tulia,Jifunze,Tafakarina ndipo Utoe maoni yako ukiwa na Utulivu la sivyo sitaacha kukuita MJINGAKama kweli wewe ni vacuum kabisa, maana unagalagazwa na empty box.
Ukiweka mandhari ya miji ya watu, wengine tuna unganisha doti, tunajiuliza kwetu pakoje. Sorry.Sikupost kuja kufanya comparison na miji mingine ndio mana heading inasomeka vile pale juu hakuna mahala nimeandika TZ vs Angola.sorry.
Mwambie Makonda akupe ofa.Panavutia
Ngoja nipneshe nia ya kwenda huko.. nione kama kuna mkaka humu JF atanipa zawadi niende nikajilie raha na anipe ofa niende na shosti mmoja ili tufurahie..
Eeeeeeh
Kama huna cha kutolea baraka pita hukoooo
Nyamaza wewe, .. kwanza salute kwa wote mliotangulia kuchangia kwenye huu uzi... nimejaribu kusoma michango ya wachangiaji wengine but majibu ya muanzisha thread c ya kiungwana coz kama angeapply kukaa kimya ingekuwa jibu zuri, kama watu wanauliza maswali jaribu kuheshimu mawazo na michango yao na si kuleta uswahili wako wa kipuuzi hapa JF...Na HII THREAD HAIKUJA KUKAGUA NANI ANAISHI KWENYE MAKARAVATI SIJUI NYUMBA ZA UDONGO WALA KUJUA MIUNDOMBINU INAMSAIDIA NAN NA NANI HII THREAD IMELETA PICHA KAMA UTALII FULL STOP HAYO MENGINE SIJUI MAISHA MABOVU SIJUI UAFRICA NAWACHIA WANASIASA NYIE MAANA KILA MUDA N SIASA.
Nyamaza wewe, .. kwanza salute kwa wote mliotangulia kuchangia kwenye huu uzi... nimejaribu kusoma michango ya wachangiaji wengine but majibu ya muanzisha thread c ya kiungwana coz kama angeapply kukaa kimya ingekuwa jibu zuri, kama watu wanauliza maswali jaribu kuheshimu mawazo na michango yao na si kuleta uswahili wako wa kipuuzi hapa JF...
wewe huna busara mana una majibu ya kipuuzi humu ndani, umejibu upuuzi kwenye maswali ambayo c lazima ujibu wewe wangejibu wachangiaji wengine... humu humu yanaibuka maswali ambayo yanatanau huu uzi na yananogesha ktkt kujua zaid... so kama yanakukera au kama unahisi yamekaa kisiasa acha kujibu..
USIWE UNAKURUPUKA SEKUNDE KWAKO DAKIKA......
Kumbuka ukishaanzisha thread c ya kwako tena....
USIWE UNAKURUPUKA SEKUNDE KWAKO DAKIKA..Ulijua hii thread tunagawa kande au Kiporo cha Pilau cha Xmass Angola hatukula Pilau wala Kande na vilivofanyika kule vikaishia kule kule.Povu ruksa maana nina Baking soda ya kuchanganyia.
Samahani jest hivi maana ya smh! Ni nini?wengine tuko kolomijewanataka kulinganisha Dsm na uchafu ule na Luanda Angola SMH
Kwanini usiwaambie ma ccm wenzako waijenge dar ivutie zaidi ya huko kuliko kuanza kufunga masafari yasiyokuwa na kichwa wala miguu?Panavutia
Ngoja nipneshe nia ya kwenda huko.. nione kama kuna mkaka humu JF atanipa zawadi niende nikajilie raha na anipe ofa niende na shosti mmoja ili tufurahie..
Eeeeeeh
Kama huna cha kutolea baraka pita hukoooo
Na ndio maana huwezi kukuta wajinga wajinga wameenda ule mji![]()