Kamera za kisasa siku hizi zinadanganya kweli kila kitu kikipigwa picha kinaonekana kizuri Hapo hakuna tofauti na BUGARIKA au BAJUBERI
Haijakataza,ila nimeamua Kumpa ushauri mwemaKatiba inakataza kusafiri au .?
Lakini kutembea sio lazima utoke nje ya nchiKuna wahenga walisema Tembea uone walikua na maana kubwa sana
Sikua n muda wa kuangalia takwimu suala ilikua kula maisha fullstop mengine hayo tumeewaachia wazee wa takwimu.
Hujui maana ya nchi?England wasingetoka nje ya Uingereza hii leo america isingekuepo au australia .What is nchi .???
Naona umeanza kunitolea maneno ya shombo!Sijui....Suala ni exposure ni muhim na inaonekana umeishia chalinZe Ndio maana unaandika huu upupu anyway sio ishu mda wa kulala
Ngoja nikupuuze tu!Anza kwani kwa kila Reply unalipwa .?? Me hapa kwaaanza n saa kumi jioni haya endelea.
Acha wivu na mafikara yako ya ki-CCM!Leta picha za maisha ya Waangola weusi kama mimi, na siyo mapicha ya maghorofa, hayo hata Bongo yapo, nataka kuona maisha ya Waangola weusi!