Unaweza kuwa na nchi ina miundombinu mizuri sana mjini, halafu hapo mjini maisha ni ghalisana kiasi Waafrika wazawa wa kawaida hawawezikuishi, wanaishinje yamji huko kwenye nyumba mbovu na miundombinu mibovu.
Sisemi kwamba Angolaipo hivyo, ilainaweza kuwa hivyo.
Nchi ambayoina maghorofa mazuri, lakini wanakaawazungu na waafrika wachache sana,barabara nzuri, lakinimagari wanaendesha wachache wenye hela.
Hii ni genuine concern, kwa hiyoswali hili si la kupuuzwa.
Maendeleo yanatakiwakunufaisha watu wengi, si wachache. Sasaswali limejikitakwenye kutaka kujua ukweli, huu ulimbwende wa Angola unanufaisha wengi?
Au kuna sehemuwatu weusi hata kufika hawafiki kwa sababu ya ubaguzi wa kiuchumi?