Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Mpwa cheki na Preta kwanza kama ana Blackberry..
Ngoja nimwombe BBM pin akinipa nitajua anayo akiuchuna atakuwa hana
Mpwa cheki na Preta kwanza kama ana Blackberry..
:hat::hat::hat::majani7::bange::ban:
atamuuliza alikuwa anafanya nini Tandale?
Ni marfuku kuonekana maeneo hayo
Sera wakati amethaminisha akaona nina nokia ya mchina akala konaha ha ha ha
pole weee
ukashindwa kumkonvice kwa sera za MEMKWA?
:rain::A S-confused1:Kuna mtu kaiba pasiwedi
kwani imekuwaje?
:iamwithstupid:
:A S-rap::A S-rap::behindsofa: ngoja nichungulie tuu maana naona hapa natoka kapa
:A S-rap::A S-rap:
:violin::drum::kev::noidea: kabisa bora niende kwenye stuli ndefu tuu
Masaki hakunaga wapiga loba?
:violin::drum::kev:
viti vyake huyu mchaga ameweka kanga kama seat cover. Nahitaji viti vingine.ntakanunulia honi
nimeshanunua na rangi za goldstar kopo mbili tukapake kang'ae
nikachongeshe na viti?
Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?
tatizo wezi wa tandale wanatumia bisibisi
wakati wa masaki wanapita na gari wanakukwapua
ujue hata dizaini ya kuibiwa inashusha au kupandisha heshima!!
Hao wana afadhali. Wazee wa huku bure kabisa!mmmh wazee wa kwetu wote wanazo aisee
Bwana eheee sisi tukikijua kitu inakuwa ni kero balaaheheh bora mchina karahisisha ili kila mtuapate,
wabongo tunajua ku overdo mambo kuliko huko yalikoanzia,ulimbukeni mzigo
Kuna baadhi ya makampuni yanang'oa hadi serversKuna pande hapa duniani BlackBerry zimeanza kuwa obsolete.
Huku kwetu ndio zimepamba moto. Kila mtu anataka awe nayoKuna pande hapa duniani BlackBerry zimeanza kuwa obsolete.
Mpwa cheki na Preta kwanza kama ana Blackberry..
Ngoja nimwombe BBM pin akinipa nitajua anayo akiuchuna atakuwa hana