BBC wako sahihi kuita jengo la Freemason kanisa?

BBC wako sahihi kuita jengo la Freemason kanisa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,303
20250516_071517.jpg

Kwa nini wasingeandika ukumbi au hekalu/kanisa/msikiti??
 
Mwambie aweke link

Unajua usimamizi wa BBC au mnajiropekea tu.

BBC sio chombo cha kuandika ujinga, kinawajibika kwa walipa kodi wao huko,

Yaani BBC ikiri uwepo wa conspiracy theories bila ya ushahidi.

Unadhani wazungu ni wapuuzi kama sisi.
Kwani mkuu nini maana ya neno "kanisa" kwa uelewaji wako
 
Kwani mkuu nini maana ya neno "kanisa" kwa uelewaji wako
Regulations za U.K. kwenye maswala ya factual reporting.

Na hakuna taasisi ambayo ipo scrutinised kwenye standard of reporting kama BBC.

BBC haiwezi andika habari ambayo awawezi itetea kamwe.

Waseme habari za kanisa la Freemason, unaelewa mkurugenzi anaweza kwenye parliament committee, na media regulators kadhaa kuthibitisha hao Freemasons wanao miliki hilo kanisa.

BBC unatakiwa kuwa trustworthy ya habari, wanachoandika hizo information ni woththy of academic research reference.

Ndio maana nina uhakika mleta mada hawezi leta hiyo source miaka 800, kwa sababu BBC haiwezi andika upuuzi huo.
 
Regulations za U.K. kwenye maswala ya factual reporting.

Na hakuna taasisi ambayo ipo scrutinised kwenye standard of reporting kama BBC.

BBC haiwezi andika habari ambayo awawezi itetea kamwe.

Waseme habari za kanisa la Freemason, unaelewa mkurugenzi anaweza kwenye parliament committee, na media regulators kadhaa kuthibitisha hao Freemasons wanao miliki hilo kanisa.

BBC unatakiwa kuwa trustworthy ya habari, wanachoandika hizo information ni woththy of academic research reference.

Ndio maana nina uhakika mleta mada hawezi leta hiyo source miaka 800, kwa sababu BBC haiwezi andika upuuzi huo.
Kwa hiyo BBC haiwezi kuleta propaganda ?
 
Utakuwa ni mental case wewe sio bure mzima.

Hivi unajuwa BBC na upholding standard zake.

BBC nakuhakikishia miaka 800 haiwezi andika ujinga kama huo.

We unadhani BBC ni chombo cha mzaha-mzaha kama hivi vyetu vinaweza andika ujinga tu.
BBC walikosea sana kuita jengo hilo kanisa. Mwandishi wake hakutumia muktadha wa neno muafaka. Bora angeita loji tu ingetosha na ndivyo linavyoitwa
 
Mimi naishi kijiji kimoja huku Malawi mpakani na Tanzania.

Kitu ambacho nimejifunza kuhusu Tanzania, it’s OK kujiandikia ujinga. Not knowing uandishi unataka justification.

Sehemu zingine regulations zake sio mzaha.

Hamkumuelewa tu Magufuli kwenye kuzuia ujinga wa media.

BBC huko kwao kila jumapili kuna kipindi kinaitwa ‘point of view’ wachangiaji wanakosoa narrative na facts za kipindi. Ndio uelewe BBC hawawezi jihusisha na speculation za kijinga.
 
Templar including kina King James na wale walioleta version nyingi za Biblia ni wao ... Rudi nyuma tafuta Historia ya Neno Kanisa.
Shetani anaishi kanisani kitambo Sana.
 
BBC ni kikundi cha magaidi imeingiliwa na Muslim Brotherhood hata Waingereza wenyewe wanaipiga vita.
wanajua kabisa majengo ya ibada za kimasoniki yanaitwa loji na si kanisa/church. Wamepotosha kwa makusudi ionekane kuwa freemason wana makanisa. Kama kuna kanisa la freemason basi na msikiti wa freemason upo. Freemason wenyewe wanasema wanachama wao ndio hubakia kuwa wafuasi wa dini mbalimbali lakini hukutana kwenye maloji yao kupanga mambo yao
 
Back
Top Bottom