The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
- Thread starter
- #241
Ndivyo walivyo mkuu hawanaga hoja hao zaidi ya matusi, ukiwapa facts wanashindwa kujibu wanaanza kwenda kinyume na madambona una reply off-topic kbs






Ndivyo walivyo mkuu hawanaga hoja hao zaidi ya matusi, ukiwapa facts wanashindwa kujibu wanaanza kwenda kinyume na madambona una reply off-topic kbs






Hata Mukapewa sababu milioni hamuwezi kuziona za maana kuna mjumbe hapo juu kasema wale waliuliwa ndugu zao na wengine kuwa vilema na wengine kufunguliwa mashtaka na kesi za kubambikizwa na wengine kuporwa mali zao na kufilisiwa sijui utawaambiaje kumsifia magu ni kawaida ya binadamu yyote kuna watu watakupenda na kuna watu watakuchukiya hata ukafanya mazuri kiasi gani.Kwa kifupi alikuwa Mao stung wa china au Dikteta Uchwara.Nakupa mfano wa Tunisia tu Raisi wao kavunja serikali karibu mwenzi mzima yuko peke yao na juzi kaamua kuchukua cheo cha prime minister watunisia jana wameingia barabarani hawamtaki na mwanzo walimuona ni mtu muadilifu lkn naona kawageukia na wao sasa wanamgeukia hivyo ndivyo tulivyo binadamu .Yako mabaya na mazuri lkn watu wanaangalia zaidi mazuri kuliko mabaya au yale mabaya yanafichwa na mazuri unayoyafanya huwezi kuwa Raisi ukajua kila kitu kila mtu ana fani yake .Tafadhali Anti-Magu mnaposema Hayati hakuwa Rais mzuri mtoe sababu ambazo zitawashawishi Magufulians kwamba kweli mpendwa wao alikuwa sio kiongozi bora, kwamba waone nyie msiomuelewa mna sababu za kutomuelewa, yani wekeni hapa sababu za kueleweka na sio kutoa sababu zisizo na mashiko na ushahidi wowote.
Sisi Magufulians tunaamini kwamba Hayati alikuwa moja kati ya viongozi bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania na sababu za kusema hivyo tunazo na ziko wazi kabisa na tunaziongea kila siku, sasa nyie mnaosema hakuwa kiongozi mzuri mtuambie ni kwa vipi hakuwa kiongozi mzuri, usiishie tu kutukana haitasaidia na itatufanya tuamini kwamba mnaomchukia Magu ni chuki binafsi zaidi kuliko uhalisia na ndiyo maana mpo wachache tu na asilimia kubwa mnapatikana Jamii Forums na twitter.
Hakuna na hatatokea Rais ambaye hajawahi kuuwa mana yeye ndiye anayeongoza majeshi yote, Rais hata uwe mwema kiasi gani lakini kuna muda utalazimika kufanya jambo la kikatili kwa faida ya wengi.Hata Mukapewa sababu milioni hamuwezi kuziona za maana kuna mjumbe hapo juu kasema wale waliuliwa ndugu zao na wengine kuwa vilema na wengine kufunguliwa mashtaka na kesi za kubambikizwa na wengine kuporwa mali zao na kufilisiwa sijui utawaambiaje kumsifia magu ni kawaida ya binadamu yyote kuna watu watakupenda na kuna watu watakuchukiya hata ukafanya mazuri kiasi gani.Kwa kifupi alikuwa Mao stung wa china au Dikteta Uchwara.Nakupa mfano wa Tunisia tu Raisi wao kavunja serikali karibu mwenzi mzima yuko peke yao na juzi kaamua kuchukua cheo cha prime minister watunisia jana wameingia barabarani hawamtaki na mwanzo walimuona ni mtu muadilifu lkn naona kawageukia na wao sasa wanamgeukia hivyo ndivyo tulivyo binadamu .Yako mabaya na mazuri lkn watu wanaangalia zaidi mazuri kuliko mabaya au yale mabaya yanafichwa na mazuri unayoyafanya huwezi kuwa Raisi ukajua kila kitu kila mtu ana fani yake .
Nnachowapendea Anti-Magu huwa mnakubali kwamba Magu alikuwa kipenzi cha Watz.
Tunataka Wapinzani wa Chief Hangaya mlete fyoko tufukue makaburi ya sgr,stiglaz,ndege,Til.1 ya Assad,Bil.600 za uviko 19 ,ufisadi wa Mayanga ,ufisadi wa pigment kwenye mafuta ,Tanroads,Bandari,Utalii na Madini bila kusahau pesa zilizochitwa hazina baada ya kifo and many more..mafaili tunayo mezani tunasubilia mda ule wa joto la kisiasa tuwalipue wazalendo.Onyesha utajiri wake popote! He is no body! Nyie wahuni ndio mlitaka kumchafua!
Bwawa la umeme lipi liliojengwa ndani ya miaka mitano mpaka sasa?Mpaka sasa nadhani hawa Anti-Magu washanyoosha mikono yao japo kimya kimya, hili jambo liko wazi kabisa kwamba hayati ametumia muda mfupi zaidi kufanya mambo makubwa yaliyowashinda maraisi wote waliowahi kuongoza nchi hii.
Iko wazi tangu uhuru nchi haijawahi kujenga reli, bwawa la umeme, flyover, Roads za kisasa kama Kimara-Kibaha highway, meli, ndege nyingi n.k n.k, hayo yote yamefanyika ndani ya kipindi cha miaka mitano tu na sio miaka 50.
Zamani nilikuwa naamini kwamba miaka 10 haitoshi kwa rais kufanya mambo makubwa kumbe inawezekana kabisa mana chuma kilitumia miaka mitano tu kubadili taswira, na ndiyo maana tulitaka aongoze mpk atakapokufa na kweli mwenyezi Mungu alitusikia hayati aliongoza mpk kifo chake mana hakuna binadamu angeweza kutuongoza nchi hii ilhali Magufuli yupo hai.
Soma vzr wacha ukatuni, mkizidiwa hoja huwa mnaleta comedy.Bwawa la umeme lipi liliojengwa ndani ya miaka mitano mpaka sasa?
Unawajua Marais wote waliongoza nchi hii na vitu walivyofanya katika vipindi vyao?Mpaka sasa nadhani hawa Anti-Magu washanyoosha mikono yao japo kimya kimya, hili jambo liko wazi kabisa kwamba hayati ametumia muda mfupi zaidi kufanya mambo makubwa yaliyowashinda maraisi wote waliowahi kuongoza nchi hii.
Iko wazi tangu uhuru nchi haijawahi kujenga reli, bwawa la umeme, flyover, Roads za kisasa kama Kimara-Kibaha highway, meli, ndege nyingi n.k n.k, hayo yote yamefanyika ndani ya kipindi cha miaka mitano tu na sio miaka 50.
Zamani nilikuwa naamini kwamba miaka 10 haitoshi kwa rais kufanya mambo makubwa kumbe inawezekana kabisa mana chuma kilitumia miaka mitano tu kubadili taswira, na ndiyo maana tulitaka aongoze mpk atakapokufa na kweli mwenyezi Mungu alitusikia hayati aliongoza mpk kifo chake mana hakuna binadamu angeweza kutuongoza nchi hii ilhali Magufuli yupo hai.
Mimi nimeshataja alivyofanya Magu wengine wameshindwa, sasa wewe taja walivyofanya hao wengine Magu kashindwa kama hujaniambia demokrasia, mara ben saa8Unawajua Marais wote waliongoza nchi hii na vitu walivyofanya katika vipindi vyao?





Mimi nimeshataja alivyofanya Magu wengine wameshindwa, sasa wewe taja walivyofanya hao wengine Magu kashindwa kama hujaniambia demokrasia, mara ben saa8![]()
Nimekwambia taja Rais aliyejenga hivyo vitu na co ku mention tu.Reli ya Tazara , mabwawa ya Mtera, nyumba ya Mungu, Kihansi, Hale, Pangani yalijengwa na baba yako?
Bandari ya Dar es Salaam ambayo jiwe alikuwa hakauki kwenda ilijengwa na bibi yako?
Kabla ya jiwe nchi hii watu walikuwa hawasafiri kwa meli?
Nimekwambia taja Rais aliyejenga hivyo vitu na co ku mention tu.
Hahahahahaaa, sasa nenda ka Google alafu ujionee aliyejenga reli ya Tazara ni nani kama hujajiona wa ajabu, btw hayo yote uliyoyataja Magu kayafanya ila hao marais wengine ukitoa Nyerere walituletea neti tuJiwe.





Uchumi mzuri hauletwi kwa maneno bali vitendo na hard working na hiyo hard working haipatikani kwa kuchekeana chekeana bali seriousness na misimamo mikali.God Governance sifa yake kubwa ni uchumi ambao utamfanya mwananchi
Wa chini kabisa apate makate wake wa kila siku bila kero yoyote huwezi kusema
Tuna God Governance au tuna Raisi mchapakazi wakati uchumi ni wa mafungu
Mafungu no hii haikubaliki watu wanasota
Uchumi wa mafungu mafungu hio sio GOD GOVERNANCE Tuache sifa za kitoto Tudishe maombi kwa muumba wetu
Hahahahahaaa, sasa nenda ka Google alafu ujionee aliyejenga reli ya Tazara ni nani kama hujajiona wa ajabu, btw hayo yote uliyoyataja Magu kayafanya ila hao marais wengine ukitoa Nyerere walituletea neti tu![]()
Hoja zikiisha huwa mnahamia kwenye matusi, hii inadhihirisha kwamba chuki na wivu ndio unaofanya wachache wenye mrengo wa kisiasa kumchukia Magu.Bora hao walioleta neti wakasaidia watu wachache kutoathirika akili na Malaria kali kama ilivyokuathiri wewe.