Battle: Magufulians vs Anti-Magufuli

Battle: Magufulians vs Anti-Magufuli

Walifanya ukaguzi wa miradi ya hao jamaa ni wizi wizi kwenda mbele , wapumbavu hao walijificha kwenye kichaka cha uzalendo..

Kuna ule upigaji walikuwa wanafanya kwenye kuweka pigment kwenye mafuta kwa kutumia kampuni yao , Serikali umepiga marufuku ila wanawaacha tuu.
Hatari sana ila jamaa aliwekeza sana kwenye propaganda,hata humu forum kipimo Cha mtu anayejitambua na kujielewa angalia Kama ni shabiki wa jiwe utaona kabisa jinsi Gani walivyo weupe kichwani na ni washamba na malimbukeni wafuata mikumbo na njaa njaa,
Kazi Yao kubwa ni kulia Lia
Anyway Hivi Ile hotel ya Tanapa iliyojengwa Burigi Chato sijui imeisha au nayo imekufa?
Maana Kuna majitu yalijipendekeza mpaka kusaini ujenzi wa White elephant hotel Project kule Burigi Ili yaonekane yanaunga mkono juhudi za kukuza utalii Kwa kina mtu pori

Make my word pale tulipigwa na Ile project itakuja kujifia kifo Cha Mende mapema sana Mimi Kama mdau wa utalii kule walifanya uamuzi wa kijinga na kujipendekeza hakukufaa kujengwe project Kama Ile
Ila kasumba za viongozi wa bongo
Kujipendekeza zitawacost!
 
Hatari sana ila jamaa aliwekeza sana kwenye propaganda,hata humu forum kipimo Cha mtu anayejitambua na kujielewa angalia Kama ni shabiki wa jiwe utaona kabisa jinsi Gani walivyo weupe kichwani na ni washamba na malimbukeni wafuata mikumbo na njaa njaa,
Kazi Yao kubwa ni kulia Lia
Anyway Hivi Ile hotel ya Tanapa iliyojengwa Burigi Chato sijui imeisha au nayo imekufa?
Maana Kuna majitu yalijipendekeza mpaka kusaini ujenzi wa White elephant hotel Project kule Burigi Ili yaonekane yanaunga mkono juhudi za kukuza utalii Kwa kina mtu pori

Make my word pale tulipigwa na Ile project itakuja kujifia kifo Cha Mende mapema sana Mimi Kama mdau wa utalii kule walifanya uamuzi wa kijinga na kujipendekeza hakukufaa kujengwe project Kama Ile
Ila kasumba za viongozi wa bongo
Kujipendekeza zitawacost!
Na alikamata majinga mengi Sana,Hawa machinga na peasants walikuwa wahanga wakubwa wa utawala wake .

Masoko ya Mazao ya kilimo yalianguka vibaya,ajira hakuna uchumi hovyo wakaishia kulipishwa vitambulisho Ili waachwe wawe wanajikongoja kwa kuitwa wanyonge..

Hao wanaoitwa machinga niatokeo ya sera mbovu za yule jamaa ila sasa wasivyo na akili walidhani anawasaidia..

Kila kitu tunapata tabu saizi ni matokeo ya propaganda zake na vile nchi hii watu wengi ni maskini na wasio na shule ni rahisi Sana kuwa brainwashed ndio maana unakuta hata wajasiliamali wa dini wanawakamata Sana.
 
Hatari sana ila jamaa aliwekeza sana kwenye propaganda,hata humu forum kipimo Cha mtu anayejitambua na kujielewa angalia Kama ni shabiki wa jiwe utaona kabisa jinsi Gani walivyo weupe kichwani na ni washamba na malimbukeni wafuata mikumbo na njaa njaa,
Kazi Yao kubwa ni kulia Lia
Anyway Hivi Ile hotel ya Tanapa iliyojengwa Burigi Chato sijui imeisha au nayo imekufa?
Maana Kuna majitu yalijipendekeza mpaka kusaini ujenzi wa White elephant hotel Project kule Burigi Ili yaonekane yanaunga mkono juhudi za kukuza utalii Kwa kina mtu pori

Make my word pale tulipigwa na Ile project itakuja kujifia kifo Cha Mende mapema sana Mimi Kama mdau wa utalii kule walifanya uamuzi wa kijinga na kujipendekeza hakukufaa kujengwe project Kama Ile
Ila kasumba za viongozi wa bongo
Kujipendekeza zitawacost!
Ninachofurahi ni kwamba tukiwapiga nondo huwa hamkatai mnabaki kmy, mnabaki kusema alijenga Chatooo alijenga Chatooo, na co kusema aliiba pesa zimewekwa nchi fulani

Kujenga kwao kuna shida gani? Miradi mingapi aliiwekeza miji mingine ambayo c Chato? Tena miradi yenye gharama kubwa kuliko ya Chato? Chuki, ushamba, roho mby pamoja na ubinafsi wenu wa kudhani kwamba raia wa Chato hawastahili barabara za lami, hotel, umeme n.k.

By the way, Chato iko wapi Burundi au?
 
Ninachofurahi ni kwamba tukiwapiga nondo huwa hamkatai mnabaki kmy, mnabaki kusema alijenga Chatooo alijenga Chatooo, na co kusema aliiba pesa zimewekwa nchi fulani

Kujenga kwao kuna shida gani? Miradi mingapi aliiwekeza miji mingine ambayo c Chato? Tena miradi yenye gharama kubwa kuliko ya Chato? Chuki, ushamba, roho mby pamoja na ubinafsi wenu wa kudhani kwamba raia wa Chato hawastahili barabara za lami, hotel, umeme n.k.

By the way, Chato iko wapi Burundi au?
acha kutetea upumbavu hata Wewe ukiwa na ndugu Yako wa kambo mkishirikiana na baba Yako kulima shamba ekari 5
Mkateseka wote pamoja halafu msimu wa mavuno apendelewe huyo ndugu Yako wa kambo Kwa kupewa avune ekari 3
Wewe upewe 2 na mlitumia nguvu sawa Tena na kumzidi utakubari?

Vile vile na Chato ilipendelewa kiboya na baba jiwe ilivuna isichopanda!
 
acha kutetea upumbavu hata Wewe ukiwa na ndugu Yako wa kambo mkishirikiana na baba Yako kulima shamba ekari 5
Mkateseka wote pamoja halafu msimu wa mavuno apendelewe huyo ndugu Yako wa kambo Kwa kupewa avune ekari 3
Wewe upewe 2 na mlitumia nguvu sawa Tena na kumzidi utakubari?

Vile vile na Chato ilipendelewa kiboya na baba jiwe ilivuna isichopanda!
Onesha mradi ambao ulifanywa Chato uliogharimu pesa nyingi kuliko miradi yote Tz.
 
wapi nimesema kuliko miradi yote Tz?
Mkubali tu Mwendazake alikupendelea kwao nyie Watu mbona hata Kwa macho ya kawaida tu inaonekana mnajitia aibu kutetea ujinga wa Mzee wa Legasi ya Mabatini!
Sasa maana ya neno kupendelea ni ipi? Kwamba kwa mfano kama una watoto wawili zen ukampa mmoja wao kingi kuliko mwenzake c ndio tafsiri ya neno kupendelea au?

Roho mby zenu, chuki na kutorizika kwenu ndio kunakofanya mumchukue shujaa.

Wewe ulitaka Chato imsomeshe alafu asiilipe? Ulitaka Chato imfungulie milango ya kuwa rais alafu asiwalipe wana chato hata kidogo? Je wewe ungeweza?

Mm nilidhani mtasema alijilimbikizia mali yeye binafsi kumbe mnalaumu shujaa kujenga nchi nzima ikiwemo nyumbani kwao walipomsomesha na kusababisha Tanzania kuneemeka na mtu huyu.
 
'Anapendwa' na uneducated class because they can't see past his propaganda and cooked statistics.

Ukweli ni kwamba ndani ya miaka 6 ya uongozi wake, GDP per capita imeongezeka by 30 USD, wakati chini ya miaka 10 ya Kikwete iliongezeka by 500+ USD.
hao uneducated na wao wana vipimo vyao vya kujua kuwa huyu n bora na huyu sio
Kuna aliyeingia madarakani akakuta mkate n sh. 500 katoka ukiwa unauzwa 1000,halaf kuna mwamba aliingia akikuta unauzwa 1000 na katoka ukiwa na bei ileile, na aliahid nyerer HP ikikamilika bei zitashuka sana maana umeme utakua nafuu kuliko ilivyowai kutokea... Sasa mrithi hata hajabembea vizur kwenye kiti katupandishia bei ya umeme kijanja, pesa tunasafirisha kwa mabac...
Bado mzee JPM alikua na uthubutu mzur sana
 
Sasa maana ya neno kupendelea ni ipi? Kwamba kwa mfano kama una watoto wawili zen ukampa mmoja wao kingi kuliko mwenzake c ndio tafsiri ya neno kupendelea au?

Roho mby zenu, chuki na kutorizika kwenu ndio kunakofanya mumchukue shujaa.

Wewe ulitaka Chato imsomeshe alafu asiilipe? Ulitaka Chato imfungulie milango ya kuwa rais alafu asiwalipe wana chato hata kidogo? Je wewe ungeweza?

Mm nilidhani mtasema alijilimbikizia mali yeye binafsi kumbe mnalaumu shujaa kujenga nchi nzima ikiwemo nyumbani kwao walipomsomesha na kusababisha Tanzania kuneemeka na mtu huyu.
Wewe jamaa unadhihilisha jinsi Gani ulivyo mjinga kwahiyo Chato ndio ilimsomesha au sio?
Haya na Mwalimu Nyerere angeanza kupendelea kwao Mwitongo butiama si Leo ndio ingekua makao Makuu ya nchi?
Mwinyi senior si angependelea kwao Rufiji?
Mkapa Kwao Lupaso si angejenga kuwe paradiso ndogo?
Kikwete kwao Chalinze na msoga yote angeifanya Kama ilivyofanywa Chato Leo ingekua wapi?

Wafuasi wa mwendazake hamjitambui nyie mpo Kama mazuzu flani kwanini msiwe mnafikiria vitu nje ya box?
 
hao uneducated na wao wana vipimo vyao vya kujua kuwa huyu n bora na huyu sio
Kuna aliyeingia madarakani akakuta mkate n sh. 500 katoka ukiwa unauzwa 1000,halaf kuna mwamba aliingia akikuta unauzwa 1000 na katoka ukiwa na bei ileile, na aliahid nyerer HP ikikamilika bei zitashuka sana maana umeme utakua nafuu kuliko ilivyowai kutokea... Sasa mrithi hata hajabembea vizur kwenye kiti katupandishia bei ya umeme kijanja, pesa tunasafirisha kwa mabac...
Bado mzee JPM alikua nabuthubutu mzur sana
Wape darasa hawa waja.
 
Fact gani unataka kwa mfano, muanzisha uzi anakuelewesha lakini bado unakaza fuvu ndegelesi.
yeye anataka nisikilize zake na niziunge mkono hapo hapo anapinga zangu ulitakaje Kwa mfano Mimi nimsifie jiwe?

Hahahahaaaha haiji tokea alipigwa spana akiwa hai mpaka Sasa mfu Bado atapigwa tu Kama Wewe ulivyomsifia akiwa hai mpaka Sasa mfu na Mimi vivyo hivyo!
Tusifokeane!
 
Wewe jamaa unadhihilisha jinsi Gani ulivyo mjinga kwahiyo Chato ndio ilimsomesha au sio?
Haya na Mwalimu Nyerere angeanza kupendelea kwao Mwitongo butiama si Leo ndio ingekua makao Makuu ya nchi?
Mwinyi senior si angependelea kwao Rufiji?
Mkapa Kwao Lupaso si angejenga kuwe paradiso ndogo?
Kikwete kwao Chalinze na msoga yote angeifanya Kama ilivyofanywa Chato Leo ingekua wapi?

Wafuasi wa mwendazake hamjitambui nyie mpo Kama mazuzu flani kwanini msiwe mnafikiria vitu nje ya box?
Hivi unaijua msoga ya leo wewe au unaongea tu.
 
Alikua Mwizi aliyejificha kwenye kivuli Cha Uzalendo uchwara, Hii ilidhihirika pale alipokuwa waziri wa ujenzi baada ya kuchukua nyumba za Nation Housing maeneo ya upanga na Oysterbay na kuwapa ndugu,marafiki na hawara kwa janja janja za nyani
Yaani kiufupi ni alifoji document Kwa kuzuga kauza kumbe kajiuzia mwenyewe Kwa Bei ya maandazi!

Harafu Sasa alikataa kukaguliwa na CAG prof Assad upotevu wa zaidi ya Tsh trillion 1 zilizopotea kimagumashi na Kwa kutopitishwa na bunge,
Akamuundia zengwe CAG Kwa kumstaafisha chini ya kamati ya roho mbaya wakiongozwa na Kimbunga Jobo wa pale Makao Makuu ya Bunge!

Miradi ya Matrillion kupelekwa kijijini kwao Chato ikiwemo intanational airport ambapo haikuidhinishwa na bunge Wala kukaguliwa na mkaguzi Mkuu wa serikali yaani CAG

Naanza na hayo kwanza nakuja na povu la buku jero kumkandia Nduli Jiwe!
Keep waiting!
Onyesha utajiri wake popote! He is no body! Nyie wahuni ndio mlitaka kumchafua!
 
Back
Top Bottom