Battle: Magufulians vs Anti-Magufuli

MOJA YA HOTUBA ZITAKAZOKUMBUKWA ZA JEMEDARI HAYATI DR. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.


Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu . Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania . Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
 
Binafsi niko Upande wa Magu, lakini ndio hivyo tena, kwa sisi tunaoamini kwamba ukifa unazaliwa tena, naamini saa hizi yupo pande flani ananyonya na muda ukifika atakamilisha mission yake huko aliko... Ukifa baada ya siku 40 unazaliwa pande zingine...
 
Binafsi niko Upande wa Magu, lakini ndio hivyo tena, kwa sisi tunaoamini kwamba ukifa unazaliwa tena, naamini saa hizi yupo pande flani ananyonya na muda ukifika atakamilisha mission yake huko aliko... Ukifa baada ya siku 40 unazaliwa pande zingine...
Dah inafikirisha sana.
 
Alikua Mwizi aliyejificha kwenye kivuli Cha Uzalendo uchwara, Hii ilidhihirika pale alipokuwa waziri wa ujenzi baada ya kuchukua nyumba za Nation Housing maeneo ya upanga na Oysterbay na kuwapa ndugu,marafiki na hawara kwa janja janja za nyani
Yaani kiufupi ni alifoji document Kwa kuzuga kauza kumbe kajiuzia mwenyewe Kwa Bei ya maandazi!

Harafu Sasa alikataa kukaguliwa na CAG prof Assad upotevu wa zaidi ya Tsh trillion 1 zilizopotea kimagumashi na Kwa kutopitishwa na bunge,
Akamuundia zengwe CAG Kwa kumstaafisha chini ya kamati ya roho mbaya wakiongozwa na Kimbunga Jobo wa pale Makao Makuu ya Bunge!

Miradi ya Matrillion kupelekwa kijijini kwao Chato ikiwemo intanational airport ambapo haikuidhinishwa na bunge Wala kukaguliwa na mkaguzi Mkuu wa serikali yaani CAG

Naanza na hayo kwanza nakuja na povu la buku jero kumkandia Nduli Jiwe!
Keep waiting!
Prof Assad naye ni kama Kigogo wa huko Twitter amebaki kulialia tu baada ya mwendazake kuondoka ,alipokuwa hai hatukusikia hizi kelele, kwa mwanaume huu ni unafiki.
 
Prof Assad naye ni kama Kigogo wa huko Twitter amebaki kulialia tu baada ya mwendazake kuondoka ,alipokuwa hai hatukusikia hizi kelele, kwa mwanaume huu ni unafiki.
Huyo kigogo na Mange walikuwa wanapata mkate wao kwa kumtusi Magu, leo amekufa na wao wamekufa hawana jipya tena.
 
Huyo kigogo na Mange walikuwa wanapata mkate wao kwa kumtusi Magu, leo amekufa na wao wamekufa hawana jipya tena.
Na Mange alivyomnafiki kaenda kumpokea mama huko NYC wakati mama huyo huyo alikuwa ni sehemu ya utawala wa Magu, sidhani mtu unaweza sema mimi sila nyama ila nakunywa mchuzi wa nyama!
 
Reli ya Tazara , mabwawa ya Mtera, nyumba ya Mungu, Kihansi, Hale, Pangani yalijengwa na baba yako?

Bandari ya Dar es Salaam ambayo jiwe alikuwa hakauki kwenda ilijengwa na bibi yako?

Kabla ya jiwe nchi hii watu walikuwa hawasafiri kwa meli?
Haya yote yalifanywa na marais wengine kwa ujumla wao kwa zaidi ya miaka 50.

Lakini Magufuli did on a maverick what he did in just five years, yes, five years pekee.

This is what makes him stand out from others.
 
Haya yote yalifanywa na marais wengine kwa ujumla wao kwa zaidi ya miaka 50.

Lakini Magufuli did on a maverick what he did in just five years, yes, five years pekee.

This is what makes him stand out from others.
Sasa waja hawataki
 
Ndani ya miaka 6 Hakuna Bwawa la umeme lililokamalika au hata kufikia robo, hakuna reli iliyokamilika, hakuna chuo kikuu kipya kilichojengwa.Mataga akili zenu bado hamjazichukua kabatini.
Shida ni kwamba ukiwaambia kwa kwa ushahidi mambo makubwa aliyofanya jemedari kwa miaka michache wanakasirika wanaanza kutukana.
 
Magu alishindwa ku balance mambo yake. Siku zote unapokuwa kiongozi usitake kuwa mtawala.

Kuna tofauti kati ya kiongozi na mtawala. Sasa Magu alijiona mtawala kama absolute monarchy fulani kama Kim Jong Un. Aliamua alilotaka bila kujali miongozo mbali mbali iliyopo kama katiba n.k

Alichukia sana mtu yeyote alieenda kinyume nae (aliempinga) au alietaka kumshauri. Na hili limesababisha akaua watu na kutesa wengine. Kesi zakubambikiwa kila siku. Wenye hela wote walitingishwa.

Japo kuna mazuri mengi pia aliyafanya kama kuwa na msimamo na kutekeleza miradi kadhaa bila kusua sua na uchapakazi mtimilifu lakini alishindwa kujua kuwa katika nafasi aliyokuwepo lazima kuwe na watu ambao hawatakubaliana nae. Hivyo alipaswa kujua kuwa lazima akosolewe na kushauriwa.

Pia ni rais ambae alikuwa anapenda maendeleo ya vitu na sio watu. Ndio maana yeye alikuwa kila siku ni miradi na uzinduzi wa miundombinu tu. Mara madaraja mara barabara, reli n.k.

Alishindwa kutambua kuwa 'standard' way ya kupima maendeleo ni kuangalia GDP per capita. Yani uchumi wa mtu mmoja mmoja.

"GDP per capita measures the economic output of a nation per person. It seeks to determine the prosperity of a nation by economic growth per person in that nation."

Ni ajabu sana unakuta serikali inanunua ndege, inajenga miundombinu kibao lakini hali za watu ni tete wengi per capita income ni chini ya dola moja. Hivi mtu ambae hana uhakika wa kula au kuvaa anaweza kwenda kupanda ndege? Ndio maana ATCL inajiendesha kwa loss.

Ilitakiwa focus ingekuwa kwenye per capita income ili watu wakishakuwa na hali nzuri wanafanya manunuzi biashara zinakuwa serikali inapata kodi na mzunguko wa hela unakuwepo. Baada ya hapo serikali inafanya hizo projects na zinakuwa na tija kwa wananchi na serikali kwasababu watu wata afford kuzitumia kwasababu wana hela.

Tatizo mzee aligoma kushauriwa. Sijawahi kufikiri kuwa nchi hii hatuna wataalamu wa uchumu wenye uwezo wa kumshauri rais. Hata sisi ma laymen tunaobumba bumba tunaweza kuona concepts za kiuchumi rahisi kama hizi.
Good analysis
 
Ndani ya miaka 6 Hakuna Bwawa la umeme lililokamalika au hata kufikia robo, hakuna reli iliyokamilika, hakuna chuo kikuu kipya kilichojengwa.Mataga akili zenu bado hamjazichukua kabatini.
Bwawa limeanza kujengwa lini? Ingia mtandaoni uelimike, alafu hii ni hoja ya kitoto sn eti hakuna kilichokamilika, mtu ametoa direction ya wapi tulipo na inatakiwa twende wapi, alafu kuhusu chuo kikuu je una uhakika hakuna chuo kilichojengwa enzi za JPM? Unajua nyie Anti-Magu akili zenu ni fupi sana, mnapinga ilimradi kupinga lkn hamna facts hamna kwasababu hampendi kusoma, nyinyi ni kupinga tu.
 
Binafsi niko Upande wa Magu, lakini ndio hivyo tena, kwa sisi tunaoamini kwamba ukifa unazaliwa tena, naamini saa hizi yupo pande flani ananyonya na muda ukifika atakamilisha mission yake huko aliko... Ukifa baada ya siku 40 unazaliwa pande zingine...
Hiyo imetoka, taifa lilipitia kipindi kigumu sana. Kwa sasa angalau hali imeanza kuwa nzuri.
 
MOJA YA HOTUBA ZITAKAZOKUMBUKWA ZA JEMEDARI HAYATI DR. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.


Mimi ndio Rais ninajuwa siri zote za Nchi hii. Nisingeweza kuzungumza haya kama haya ninayozungumza siyajui.
Ni kuguswa tu na Roho mtakatifu nashindwa kuwataja.Tumechezewa mno ndiyo maana nayasema haya hadharani ndugu zangu kwamba tumechezewa mno. Ila nataka niwahakikishie ktk awamu hii ya 5 chini ya Uongozi wangu HAKUNA KUCHEZEWA. Waje wanalia, Waje wanazunguka, Watajitahidi kutuchonganisha Lakini tuseme hakuna kuchezewa. NI AIBU,!! Tanzanite zilikuwa zinasombwa tu !!? Na ndiomaana Nchi inayoongoza kuuza Tanzanite Duniani sio Tanzania ,!! Nchi ya pili inayoongoza kuuza Tanzanite sio Tanzania,!! Wakati Madini ya Tanzanite yako Tanzania tu . Na ndiomaana yaliandikwa Tanzanite kutokana na neno Tanzania . Fedha zote zilizokusanywa za Tanzanite Duniani Tz imepata asilimia tano ( 5.% ) Asilimia tisini na tano ( 95.% ) zimeliwa na wengine wa nje.
Mnataka ndugu zangu niache kulizungumza hili,!? Sasa nilichaguliwa kuwa Rais wa nini,!? Kama sitazungumza huu uozo hadharani,? Nikakae kimya tu kwa kumuogopa nani,? sababu ya Maisha yangu,!? Si nafuu nizikwe Kaburini lakini niuseme ukweli watz waujue. ..???
Kwa hiyo ninataka kuwaambia ndugu zangu Vita ya Uchumi ni ngumu zaidi kiliko Vita ya kawaida. Kumnyang'anya Mtu alichozowea kukipata bure,,!! Na kuwadharau watanzania ni Mambumbumbu, Wapumbavu Wajinga,, si jambo rahisi. Na ndiomaana nawaomba sana wote tusimame kwa pamoja tuwe wa moja Tupiganie haki zetu.

Siku zote nawaambia ndugu zangu sio kwamba sina Damu, Au sio kwamba mimi sipendi hela,.
NAJUA MKIAMUA TUTAFIKA.
Hali ya kitalu C ikoje kwa sasa?

Niliwahi kusikia hakitakiwi kuguswa.
 
'Anapendwa' na uneducated class because they can't see past his propaganda and cooked statistics.

Ukweli ni kwamba ndani ya miaka 6 ya uongozi wake, GDP per capita imeongezeka by 30 USD, wakati chini ya miaka 10 ya Kikwete iliongezeka by 500+ USD.
Hilo ongezeko enzi ya mkwere hazikuwafikia wengi!! Walifaidika marafiki, ndugu na wabia wake Kikwete kama wakina Home Shopping Centre ( GSM)!!
 
Back
Top Bottom