Battle: Magufulians vs Anti-Magufuli

Battle: Magufulians vs Anti-Magufuli

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ya kwamba Jiwe kama Jiwe yaani John Pombe Magufuli alifanikiwa kuwaingiza Mkenge IMF ?!?

[emoji23] Doh!!!
jamaa alikua bingwa wa kupika data,hivi Kwa akili zako timamu Kuna mchumi enzi zake angeweza kwenda kinyume na jiwe Kwa kutoa taarifa za kweli?
 
kapige shaba matako yako

ni kwamba lile jamaa ni limfu zoefu huko makaburini..mpelekeeni matako huko huko

kafa na ugali wenu,sasa hivi mna njaa hakuna wa kuwabeba na familia zenu

na alaaniwe yule amtegemeae mwanadamu....ndio kafa sasa...kuleni mavi!
Ulaaniwe weww na familia yako..mpumbavu mkubwa na mwizi mkubwa wewe
 
hivi wewe jamaa ni raia wa nchi Hii kweli au umeamua kujitoa fahamu aliyesema now tunaenda kuifungua nchi baada ya mazishi ya Mwendakuzimu jiwe ni nani?
alikua na maana Gani Kawaambia watanzania maneno Yale?

Alijua kabisa maswala ya uchumi wa kati yalikuwa propaganda na akaamua kuweka wazi Hali halisi

Ila sishangai Sukuma gang kujitoa fahamu maana ndio misukule peekee ya jiwe mliobaki wenzenu walishasanuka kitambo walijitoa Kwenye ujinga wa kua Vipofu wa macho mpaka fikra!
Kuifungua nchi alimaanisha kuwaruhusu mafisadi kuendelea kuiibia hii nchi, just like mfanyavyo sasa.
 
Aina ya watu walomchukia Magufuri ndo walinifanya kumpenda. Mana sikuona mtu mwenye akili timamu ambae si tapeli, mwizi au mpenda rushwa anamchukia. Hata mtaani unapoishi fanya research ya aina ya watu wanaomchukia Magufuri afu njoo u comment apa
 
01: Alileta nidhamu serikalini

02: Aliwapigania Watanzania

03: Alipambana na ufisadi

04: Aliongeza uzalendo kwa Watanzania wengi

05: Alijenga miundombinu ya nchi hii
JamiiForums922358689.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aina ya watu walomchukia Magufuri ndo walinifanya kumpenda. Mana sikuona mtu mwenye akili timamu ambae si tapeli, mwezi au mpenda rushwa anamchukia. Hata mtaani unapoishi fanya research ya aina ya watu wanaomchukia Magufuri afu njoo u comment apa
Hawana sababu sema ndio asili ya binadamu, ukumbuki waisraeli na Mussa pale jangwani?
 
jamaa alikua bingwa wa kupika data,hivi Kwa akili zako timamu Kuna mchumi enzi zake angeweza kwenda kinyume na jiwe Kwa kutoa taarifa za kweli?
Apike data wapi wakati mambo yapo hadharani kabisa.

Tunaona flyovers ambazo hatujawahi kuziona tangu uhuru.

Tunaona reli ya umeme ambayo ilikuwa ni ndoto, tangu uhuru hakuna rais aliyejenga hata sentimita moja ya reli.

Tunaona bwawa kubwa la umeme ambapo marais wote waliofuatia baada ya Nyerere hakuna aliyethubutu kujenga hata kisima ili atuzuge kuwa alikuwa na lengo la kujenga bwawa la umeme.

Tunaona ndege mpya, hivi tunavyoongea kuna chuma kingine kinaitwa Tanzanite ni brand new Airbus, kwa hapa Afrika ni nchi mbili tu ndio tunazo.

Tunaona madaraja ya kisasa kabisa, tena ni cable stayed bridges ambazo mpk ss hapa East and Central Africa ni Tz tu ndio tunayo ukiachilia uganda ambao nao wamejitutumua kdg.

Tunaona barabara za viwango hata kama zimejengwa na Mayanga construction company lkn ni za viwango, huko nyuma tulishuhudia barabara zilizojengwa na chinese construction companies lkn mwaka mmoja tu barabara kwisha.

Tunaona meli kubwa mpya zikijengwa hapa hapa Tanzania, tangu uhuru ni Magufuli na Nyerere tu ndio waliowahi kununua meli.

Tunaona Airports, Ports, vituo vya afya vya kisasa mpk uswahilini plus barabara za lami mpk Yombo uswazi.

Tunaona...... au wacha nisiendelee mana ni mengi hata wewe unajua, sasa niambie hzo data zilizopikwa ziko wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa maono yangu naona, kiongozi yeyote atakae weka msimamo wake bayana kwenye swala la chanjo na watu wakamuelewa na majority yao ikakubali kudungwa chanjo! Nadhani ndio atakaekuja kuwa kiongozi wa pekee atakaefuta kumbukumbu ya Magufuli katika historia ya taifaletu huko tuendapo.
 
Kwa maono yangu naona, kiongozi yeyote atakae weka msimamo wake bayana kwenye swala la chanjo na watu wakamuelewa na majority yao ikakubali kudungwa chanjo! Nadhani ndio atakaekuja kuwa kiongozi wa pekee atakaefuta kumbukumbu ya Magufuli katika historia ya taifaletu huko tuendapo.

Pia swala la wamachinga maana kiasi kikubwa ndio walikuwa fans wa Magufuli kwa kiasi kikubwa hivyo, kiongozi atakae kuja kutoa ahueni kwa hawa watu ndio kiongozi pekee atakae kuja kufuta kumbukumbu ya Magufuli.

Picha kamili nadhani tutaiona wakati wa uchaguzi mkuu 2025, ni swala la muda tu.
Huu pia ndio ulikuwa wakati mzuri kwa vyama vya upinzani kuzichanga karata zao vyema.
 
Hongereni Magufuli fans,walau mnahoja upande wa pili sijui wamekwama wapi[emoji2] hawasemi huyu mtu hakua anafaa na sababu zake badala yake mtu anasema matanga,msukule,mara mshamba ndo hoja nyingi humu dah kazi ipo.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Hehehehee ndio maana tumefungua huu uzi, ili waseme kinachowafanya wawe na chuki na mtu aliyeanzisha harakati za maendeleo ya kweli Tz ni nini, maana wanaongea ongea kwamba hafai lkn sababu hawana.

Kwamba hawataki barabara za kisasa wanataka neti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawataki uchapakazi na uadilifu kwa watumishi wanataka ufisadi na rushwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwamba hawataki ndege za kununua wenyewe wanataka za kukodi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwamba hawataki meli kubwa zitakazowarahisishia shughuli zao za kiuchumi wanataka meli chakavu ziendelee kuuwa kama Mv Victoria [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwamba hawataki umeme uwake masaa 24 wanataka mgao na majenereta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwamba hawataki treni ya umeme wanataka tuendelee kutumia magari moshi ya mkoloni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwamba hawataki madaraja ya kisasa wanataka yale yaliyojengwa na mkoloni yanayoporomoka kila siku yaendelee kuuwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawataki Tz iingie uchumi wa kati kisa tu aliyeiongoza kuingia huo uchumi hawampendi.

Huwa nikifikiria nakosa jibu hawa waja wanataka nini hasa, na ndiyo maana mm huwa nawapiga kwa facts na kujibu hawawezi zaidi ya matusi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa maono yangu naona, kiongozi yeyote atakae weka msimamo wake bayana kwenye swala la chanjo na watu wakamuelewa na majority yao ikakubali kudungwa chanjo! Nadhani ndio atakaekuja kuwa kiongozi wa pekee atakaefuta kumbukumbu ya Magufuli katika historia ya taifaletu huko tuendapo.
Kiongozi kama huyo inabidi aanze kujenga Imani jamii ya watanzania ikamuamini kwamba ana upendo na wananchi na co ionekane yupo kimaslahi binafsi, nakuhakikishia kama Magufuli akiamka leo akatamka tu "Watanzania chanjeni" basi hizo chanjo zao hazitatosha, hii ni kwasababu wananchi walimuamini kwamba hawezi kuwaingiza mkenge kwakuwa alikuwa na upendo wa dhati kwa nchi yake na raia anaowaongoza.
 
Kwa maono yangu naona, kiongozi yeyote atakae weka msimamo wake bayana kwenye swala la chanjo na watu wakamuelewa na majority yao ikakubali kudungwa chanjo! Nadhani ndio atakaekuja kuwa kiongozi wa pekee atakaefuta kumbukumbu ya Magufuli katika historia ya taifaletu huko tuendapo.
HAWAPO SASA WOTE WANASHINDWA KUJIBU HOJA KUANZIA MAPROFESSOR WALIOPEWA CONSULTANT WORK NA MH RAIS
 
wewe acha wenge nitoe ushahidi Mimi nimekua CAG
Simlimchimba mikwara
Prof Assad asitoe ripoti ya upotevu wa matrillion ya Pesa Kupotea kimagumashi?
Mlimziba mdomo Kwa kumstaafisha Kwa lazima Ili asigundue janja yenu ya nyani
Miradi mingi iliyoenda Chato haikupitishwa na bunge
Ila Kwa ujanja ujanja wa jiwe,

Haya mlivyo zero brain mkajitangazia uchumi umepaaa
Tupo uchumi wa kati tutembee vifua mbereeee
Leo Kiko wapi?
Mlizoea propaganda uchwara kuliko uhalisia wakati hazina hamna kitu matokeo yake
Leo inabidi tukamuliwe Kodi na tozo za ajabu ajabu kuziba pengo kisa mtu mmoja Aliyekua anapenda sifa na propaganda za kijinga kutoka Kwa nyumbu Kama nyie
Madame President Samia
Aliingia hazina akakuta empty
Ikampasa auseme ukweli tu kwamba hali Mbaya kiuchumi

Ila Nduli alikua anajua kucheza na akili za nyumbu Kama nyie
😁😁😁😁😁
SHIDA UNAONGEA KAMA SHOGA,,, WEKA HOJA NA EVIDENCE YA MIRADI YENYETHAMANI YA MATRILLION CHATO..MENTION HAPA NA THAMANI TUONE,, KENGE SANA WEWE
 
sijahamaisha goli baada IMF kugundua wameingizwa mkenge na kusoma saikolojia ya jiwe wakaamua kutusifia kinafiki ila Ile Kwa mwenye akili timamu yalikua matusi ya kinyume nyume!
MWAMBIENI SAMIA TANAGANZE KUWA TANZANIA HAIKUWAINGIA UCHUMI WAKAT BALI ULIKUWA UWONGO TU WA KISIASA, MBONA HATANGAZI HAYO
 
SHIDA UNAONGEA KAMA SHOGA,,, WEKA HOJA NA EVIDENCE YA MIRADI YENYETHAMANI YA MATRILLION CHATO..MENTION HAPA NA THAMANI TUONE,, KENGE SANA WEWE
Wewe dogo huwezi bishana na Mimi humu kama unajifanya wewe bingwa wa matusi hapa Mimi Nina mpaka Nobel prize ya matusi na kukejeri raia wajinga wajinga wa Level zako,ila Kwa heshima ya Uongozi wa Jamii Forums na Members nakustahi na kukusitiri tu!

Kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kujibishana na Misukule
Iliyotolewa akili na kukabidhi kwenye Cold room Vault pale Lumumba!

Naishia hapa!
 
Alikua Mwizi aliyejificha kwenye kivuli Cha Uzalendo uchwara, Hii ilidhihirika pale alipokuwa waziri wa ujenzi baada ya kuchukua nyumba za Nation Housing maeneo ya upanga na Oysterbay na kuwapa ndugu,marafiki na hawara kwa janja janja za nyani
Yaani kiufupi ni alifoji document Kwa kuzuga kauza kumbe kajiuzia mwenyewe Kwa Bei ya maandazi!

Harafu Sasa alikataa kukaguliwa na CAG prof Assad upotevu wa zaidi ya Tsh trillion 1 zilizopotea kimagumashi na Kwa kutopitishwa na bunge,
Akamuundia zengwe CAG Kwa kumstaafisha chini ya kamati ya roho mbaya wakiongozwa na Kimbunga Jobo wa pale Makao Makuu ya Bunge!

Miradi ya Matrillion kupelekwa kijijini kwao Chato ikiwemo intanational airport ambapo haikuidhinishwa na bunge Wala kukaguliwa na mkaguzi Mkuu wa serikali yaani CAG

Naanza na hayo kwanza nakuja na povu la buku jero kumkandia Nduli Jiwe!
Keep waiting!
😆😆 Kampuni ya mfukoni ,vibaraka wake wanaitetea 👇

Screenshot_20210926-123156.png


Screenshot_20210926-123211.png


Screenshot_20210926-070617.png


Screenshot_20210926-070827.png


Screenshot_20210926-071047.png


Screenshot_20210926-071218.png


Screenshot_20210926-070949.png


Screenshot_20210926-070647.png
 
Haahaahaaaa hatari halafu anatokea boya Mmoja anaanza bishana na Mimi eti nioneshe ushahidi was upotevu wa Matrillion ya Pesa ambayo hayajaidhinishwa na bunge Wala kukaguliwa na CAG,
Haya ukiwaonesha ushahidi Kama huu wanaanza matusi
Yaani Stend ya Kijiji Cha Chato inazidi uzuri na ubora Mwanza airport?
Hakika Mwendakuzimu na kichaa jiwe alikua mbinafsi sana
Yule jamaa Bora kifo kilifanya kazi yake angetupeleka shimoni Kama taifa!
 
Haahaahaaaa hatari halafu anatokea boya Mmoja anaanza bishana na Mimi eti nioneshe ushahidi was upotevu wa Matrillion ya Pesa ambayo hayajaidhinishwa na bunge Wala kukaguliwa na CAG,
Haya ukiwaonesha ushahidi Kama huu wanaanza matusi
Yaani Stend ya Kijiji Cha Chato inazidi uzuri Mwanza airport
Hakika Mwendakuzimu na kichaa jiwe alikua mbinafsi sana
Yule jamaa Bora kifo kilifanya kazi yake angetupeleka shimoni Kama taifa!
Walifanya ukaguzi wa miradi ya hao jamaa ni wizi wizi kwenda mbele , wapumbavu hao walijificha kwenye kichaka cha uzalendo..

Kuna ule upigaji walikuwa wanafanya kwenye kuweka pigment kwenye mafuta kwa kutumia kampuni yao , Serikali umepiga marufuku ila wanawaacha tuu.
 
Back
Top Bottom