Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila kitu kina initiator na background.

Ungekua unasifia Samia kwa kuendeleza tusingekuattack, ila hii tabia ya kumfanya yeye ndio kaweka ndio tunakataa, alafu alivyoanzisha ndivyo hivyo.

Unaibu waziri-cheo nonsense wakati waziri mkuu aliyepo hana shida.

Migao bila sababu.
Mfumuko mkubwa wa bei na Matozo, mafuta kila mwezi kuwa tatizo.

Mwendokasi kujifia, vivuko kujifia.
Kutoa vitu sensitive kwa nchi kama bandari nje, ukiangalia Bandar ilishakarabatiwa kwa trillion.

Huu uchawa wa kijinga.
Kwamba hadi manara, mwinjaku, babalevo ndio wapewe airtime ya kuongelea mambo ya muhimu kitaifa?
Pale airport mwezi wa 3 huu air condition hazifanyi kazi and no body cares, kule juu departure wamenunua ma air condition ya chini wakati uwanja una air condition zake zile pipes za juu, ukiuliza unaambiwa eti hakuna fundi nchini wa kukarabati, sasa kama ni hivyo si wangeleta mafundi wa nje? Lkn wameenda kununua ma air condition ili mradi wapige tu, awamu hii ikiondoka alafu akaja rais mwenye uchungu atawafunga wengi sana haki ya mama.
 
Ndio ananitawala,haya Sasa tunaanza na Afya ,tuanze na wanaume shupavu weka hapa Vituo vya Afya walivyojenga na Mimi niweke vya mama mbovu Kila mtu atajua hapa nani shupavu na nani mbovu.

Haya ndio mambo Huwa napenda Sasa kujadili hoja badala ya kujadili hisia za kitandani Kwa mkeo.
Aiseeee!?
1)Nani alijenga hospitali za kanda!?
-Bugando
-KCMC
-Mloganzila
2)Nani alijenga hospitali ya MOYO akapunguza gharama za kwenda nje ya nchi kutibiwa india JKCI(Jakaya Kikwete Cardiac institute)?
3)Nani aliyeleta mpango wa kuboresha huduma za hospitali za rufaa ili kupunguza rufaa muhimbili national hospital?
Nijibu hayo maswali kwanza.

Maana anachofanya Samia ni kuendeleza tu kwa kuongeza vituo vipya na vifaa tiba.
Hizo CT SCAN NA MRI na vifaa tiba vingine nani alianza kuvileta!?

Nani alijenga Benjamin Mkapa Hospital!?
 
Toka SSH amekuwa Rais Nina Raha kama zote
Lazima uwe na raha maana yafuatayo yametokea na yanaendelea kutokea;
1)Wizi uliokithiri sekta za umma.
2)Nidhamu ya kazi kupungua sekta za umma.
3)Umeme kuwa ni shida licha ya kudai umeme unazalishwa kwa wingi.
4)Ahadi za uongo zisizotimia za serikali ya awamu ya sita.
5)Shilingi kupoteza kwa dola.
6)Miradi kwenda kwa kusuasua mathalan mradi wa BRT Gongo la Mboto.

NA HUYU UNAMUITA RAIS MAKINI!?
DOH
 
Tunatengeneza stadium 5 to world class standards at the same time wengine bado wanawika ooh CAFU approved over zizi la ng'ombe. Watashtuka sana.
Tatizo lenu nyinyi hamko systematic, maviwanja kila siku ni renovation tu na bado yanakosa ubora. Toeni pesa iteni mafundi wazuri njoeni hata Tanzania kuna mafundi wazuri wawafanyie renovation ya maana na sio hao mafundi jua kali wakikenya. Mm nikionaga mnafanya renovation ya kitu chochote alafu nikaona mafundi ni Wakenya huwa nacheka sn mana najua ni renovation ya kijua kali.
 
Nimeshataja hapo Juu ila Kwa kukusaidia nakuongezea Ethiopia chini ya Queen of Sheba &Nzingambande.

Pili kwani hujui kwamba wanawake wameanza kuingia kwenye Uongozi miaka ya karibuni kutokana na sera za kuwakandamiza za mfumo dume?

Haya hapa madhara ya kufundisha mwanaume saikolojia ya kiburi👇

View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786424780381475192?t=pfU09LSsUlCjcOPNPguX0A&s=19

Pole sana kafuatilie historia ya Ethiopia vizuri utajua madudu ya huyo unayemsemea.
Pia una exposure ndogo sana na historia wewe.
Miaka hata ya nyuma wanawake walikua wakitawala ila hawakuonesha umahiri bali ni ubovu wa madaraka.
 
Lazima uwe na raha maana yafuatayo yametokea na yanaendelea kutokea;
1)Wizi uliokithiri sekta za umma.
2)Nidhamu ya kazi kupungua sekta za umma.
3)Umeme kuwa ni shida licha ya kudai umeme unazalishwa kwa wingi.
4)Ahadi za uongo zisizotimia za serikali ya awamu ya sita.
5)Shilingi kupoteza kwa dola.
6)Miradi kwenda kwa kusuasua mathalan mradi wa BRT Gongo la Mboto.

NA HUYU UNAMUITA RAIS MAKINI!?
DOH
Awamu hii ni takataka kabisa tena kama nzi yule wa kijani.
 
Lazima uwe na raha maana yafuatayo yametokea na yanaendelea kutokea;
1)Wizi uliokithiri sekta za umma.
2)Nidhamu ya kazi kupungua sekta za umma.
3)Umeme kuwa ni shida licha ya kudai umeme unazalishwa kwa wingi.
4)Ahadi za uongo zisizotimia za serikali ya awamu ya sita.
5)Shilingi kupoteza kwa dola.
6)Miradi kwenda kwa kusuasua mathalan mradi wa BRT Gongo la Mboto.

NA HUYU UNAMUITA RAIS MAKINI!?
DOH
1.Wewe umeiba kiasi gani Hadi Sasa?
2.Tuwekee Kipimo Cha nidhamu ya kazi
3.Umeme upi huo ambao ni shida? Ungekuwa shida Serikali ingezima mitambo 😂😂
4.Ahadi zipi? Mlitimiza mili.50 Kila Kijiji? 😁😁
5.Baada ya Shilingi kupoteza thamani Dhidi ya Dola Kuna mradi umekwama?
6.Hakuna mradi unaisha sua.

Mwisho Bado hujasema Hadi useme 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6YzirWtp3z/?igsh=NWs3djRsc2lycXVp
 
Unaona ulivyo huna akili!?
Unaleta masuala yale yale ya muendelezo!?
UNATAKA TUMSHINDANISHE MAGUFULI NA SAMIA?
UKO TAYARI KWA HII BATTLE??
Muendelezo kwani kipi sio muendelezo?

Muendelezo Kwa Ukubwa upi? Toka Mwanzo nimekwambia weka hapa takwimu unaruka ruka kama maharage.

Tunaanza sekta Moja baada ya nyingine na uweke takwimu sio porojo
 
Tatizo lenu nyinyi hamko systematic, maviwanja kila siku ni renovation tu na bado yanakosa ubora. Toeni pesa iteni mafundi wazuri njoeni hata Tanzania kuna mafundi wazuri wawafanyie renovation ya maana na sio hao mafundi jua kali wakikenya. Mm nikionaga mnafanya renovation ya kitu chochote alafu nikaona mafundi ni Wakenya huwa nacheka sn mana najua ni renovation ya kijua kali.
Mwaka 2027 watakumbwa tena na mafuriko ya kutisha😎😉
 
Pole sana kafuatilie historia ya Ethiopia vizuri utajua madudu ya huyo unayemsemea.
Pia una exposure ndogo sana na historia wewe.
Miaka hata ya nyuma wanawake walikua wakitawala ila hawakuonesha umahiri bali ni ubovu wa madaraka.
📌📌📌🔨 😂😂😂😂 Nimeshapiga kwenye mshono
 
Aiseeee!?
1)Nani alijenga hospitali za kanda!?
-Bugando
-KCMC
-Mloganzila
2)Nani alijenga hospitali ya MOYO akapunguza gharama za kwenda nje ya nchi kutibiwa india JKCI(Jakaya Kikwete Cardiac institute)?
3)Nani aliyeleta mpango wa kuboresha huduma za hospitali za rufaa ili kupunguza rufaa muhimbili national hospital?
Nijibu hayo maswali kwanza.

Maana anachofanya Samia ni kuendeleza tu kwa kuongeza vituo vipya na vifaa tiba.
Hizo CT SCAN NA MRI na vifaa tiba vingine nani alianza kuvileta!?

Nani alijenga Benjamin Mkapa Hospital!?
Wewe ni jinga kama sio punguani,Kwa hiyo kabla ya 2015 Kulikuwa hakuna Bugando wala KCMC? Stupid.

Sema hapo Bugando au KCMC alifanya a,b,c sio kujificha Kwa statements za jumla.jumla.

Heeee eti nani alianzisha,haya Sasa nakujibu alianzisha Nyerere kwenye hospital chache Samia kaweka Mikoa yote Tanzania.
 
1.Wewe umeiba kiasi gani Hadi Sasa?
2.Tuwekee Kipimo Cha nidhamu ya kazi
3.Umeme upi huo ambao ni shida? Ungekuwa shida Serikali ingezima mitambo 😂😂
4.Ahadi zipi? Mlitimiza mili.50 Kila Kijiji? 😁😁
5.Baada ya Shilingi kupoteza thamani Dhidi ya Dola Kuna mradi umekwama?
6.Hakuna mradi unaisha sua.

Mwisho Bado hujasema Hadi useme 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6YzirWtp3z/?igsh=NWs3djRsc2lycXVp

Kuna muda unatakiwa UPUNGUZE UJINGA UNAKERA.
1)BRT kuelekea Gongo la mboto mradi umeanza toka 2022 mpaka leo hii barabara zimechimbwa gari haziendelei.Je huko sio kukwama!?
2)Acha Usenge KIGAMBONI KILA SIKU IENDAYO YA MUNGU UMEME UNAKATIKA na hapa umekatika usiku tumelala giza umerudi saa tano.HUO UZALISHAJI MWINGI UNATOKA WAPI!?
3)Zile zilikua kipindi cha kampeni siasa nyingi wala silaumu na sitamlaumu Magufuli hata kama hajatekeleza,ila Magufuli alijitahidi kutimiza yale aliyosema akiwa ofisini,mlisema February mgao wa umeme hautakuwepo mgao ukaenda mpaka April,mkasema mitambo inazalisha kwa wingi hivyo umeme hautakatika tena,ila mpaka sasa umeme umekatika countless times.Mlisema February SGR itaanza kazi mkavusha June sasa mnasema July,FAKE PROMISES DAILY.
4)Hivi una habari kuwa Tanzania imeshuka toka LMI kuwa LDC!?
Hivi unajua shilingi ni miongoni mwa pesa zenye thamani MBOVU NA NDOGO AFRICA.
5)Vipi kuhusu mfumuko wa bei hususan sukari?
6)Unaonekana bado kijana mdogo,nakupa homework tembelea TRA huu mfano napenda sana kuutolea nenda ukaone watu wanavyofanya madudu hapo TRA,nidhamu hakuna kabisa ya utendaji.
 
Wewe ni jinga kama sio punguani,Kwa hiyo kabla ya 2015 Kulikuwa hakuna Bugando wala KCMC? Stupid.

Sema hapo Bugando au KCMC alifanya a,b,c sio kujificha Kwa statements za jumla.jumla.

Heeee eti nani alianzisha,haya Sasa nakujibu alianzisha Nyerere kwenye hospital chache Samia kaweka Mikoa yote Tanzania.
WE FALA KWELI.
Embu kaa pembeni wacha niku ignore kabisa unanipotezea muda.
 
WE FALA KWELI.
Embu kaa pembeni wacha niku ignore kabisa unanipotezea muda.
📌📌📌📌🔨 Nimepigilia msumari kwenye jicho 😁😁😁😁

Mimi ni Maji usiponinywa utanioga.

Tena acha kabisa maana utasababisha ionekane Magufuli hajafanya kazi Kwa sababu Samia Kwa miaka 3 ame double Kila kitu alichofanya Magufuli Kwa miaka 5 na vingine vipya.
 
Tatizo lenu nyinyi hamko systematic, maviwanja kila siku ni renovation tu na bado yanakosa ubora. Toeni pesa iteni mafundi wazuri njoeni hata Tanzania kuna mafundi wazuri wawafanyie renovation ya maana na sio hao mafundi jua kali wakikenya. Mm nikionaga mnafanya renovation ya kitu chochote alafu nikaona mafundi ni Wakenya huwa nacheka sn mana najua ni renovation ya kijua kali.
“Mafundi wazuri wa Tanzania” can’t align a stadium.

If these are the Tanzanian “fundi” then we better look for South Sudanese.

IMG_0157.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom