Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,904
- 81,106
Viwanja vya serikali lazma viwe multipupose kama nchi Tajiri zinazingatia hilo, sie nani tupuuze?Kwa mimi mkuu naona uwanja mmoja tu unatosha kuwa na running tracks.
Maana Tanzania hatuna sana mashindano ya riadha.
Uingereza mashindano ya riadha yapo mengi.
Toka kuwepo na hizo running tracks BWM stadium unakumbuka kuhost riadha mwisho mwaka gani!?
Kichaguliwe kiwanja kimoja kinatosha.