AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 335
- 1,020
Sio jambo la kawaida maji kukatika Dar... Ndio maana wameweka tangazo kabisa.
Wanarekebisha mabomba ya maji kutoka catchment area Ruvu huko.
Ila kwenu huko kukosa maji ni kawaida ndio maana huko nganya za ku supply maji ni ajira rasmi huko pipelines and slums area