Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani kakuuliza? BTW all the masai's sacred places r in Tanganyika!
but the fact will forever remain, all masais are affiliated to only kenyaland worldwide.. ask any international tourist.. the masai culture together with masai mara national reserve are clearly indicated as the key ingredient to the kenyan tourism industry and recognised by world travel & tourism council per sé
 
u don't need rocket science to better understand this....... the meaning is just more than obvious...

ama basi utueleze kwa kina maana kamili. maana sisi watoto wa kunyaland hatukijui kiswahili vizuri kama nyie

ana maanisha nn basi aki imba "Godoro tunailoeka maji...."

Magodoro tumeloweka maji maana yake leo hatulali, tunakesha.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
u don't need rocket science to better understand this....... the meaning is just more than obvious...

ama basi utueleze kwa kina maana kamili. maana sisi watoto wa kunyaland hatukijui kiswahili vizuri kama nyie

ana maanisha nn basi aki imba "Godoro tunailoeka maji...."


Uo wimbo unahisu kula bata tuu!! godoro ukilimwagia maji utaweza kulala?
kwanza anaenda ap akat kishaachwa?
 
Endeleeni kumshauri mama vibaya, mtajuta...
Nyie mnaitegemea utalii sana. China haiitegemei utalii. Nyie forex yenu nyingi inatokea kwenye kuuza gold $3 billion na utalii zaidi ya $1 billion. Usijilinganishe na Uchina.
 
Hakuna mwenye wivu na Mustang, it's just a Ford.

Wewe unaona Ford ni gari ya ajabu?
Hii ni Ford Shelby Cobra, unaweza pata hakuna hata moja kama hii bongo mzima. Tembea Nairobi uone muscle cars upunguze ushamba kijana.
Ile siku Tanzania itaanza kuuza Mustang kwa showroom kuja utuambie ni gari ya kawaida tuwapigie makofi.
 
Hii ni Ford Shelby Cobra, unaweza pata hakuna hata moja kama hii bongo mzima. Tembea Nairobi uone muscle cars upunguze ushamba kijana.
Ile siku Tanzania itaanza kuuza Mustang kwa showroom kuja utuambie ni gari ya kawaida tuwapigie makofi.
Watanzania hatushabikii vitu vya kijinga.
 
kisha mnadai eti nairobi ni kumwadhara, heb cheki jinsi 'mungu mwenyezi' wenu zauzafrika ilivyo hatari, homicide zauzafrika naskia sio jambo kuu. ni jambo la kawaida saaana.. very minor issue i must say.! kitafanyika sahizi mchana peupe, then the next minute imesahaulika na maisha inarejea kawaida. na huo ndio mtindo wao kilaleo. walai nairobi sihami

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom