Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo hamtaki kuongelea mambo ya Covid tena na nyinyi ni nchi ya kuigwa!! vyuma vimekaza kweli
Mcpoteze maboya kuhusu covid-19 tukutane kwny uzi wa covid-19, hakuna shirika duniani likawa na crew ya kigeni km hii zaidi ya kunya land
tapatalk_1583754049648.jpeg
 
Heri mjinga anaweza jifunza akawa mjanja,
Vipi nyie wapumbavu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mpumbavu hasaidiki hata ufanye nini.
wametajwa kwenye baa la njaa mwaka huu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na mkombozi wa chakula east africa and SADC countries ni tanzania pekee sasa sijui nani mjinga kati yetu sisi na wao
 
wametajwa kwenye baa la njaa mwaka huu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na mkombozi wa chakula east africa and SADC countries ni tanzania pekee sasa sijui nani mjinga kati yetu sisi na wao
Watakula maua ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘

8D1C37D7-2DDD-4ED6-8DF3-3DE4E02E1C68.jpeg
 
hakuna nchi isiokua na janga la corona tunachowahurumia nyinyi muna majanga matatu

1.corona
2.hunger
3. locusts

huu mwaka lazima matokeo yajibu ili tuone uhalisia wa GDP upo wapi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Si unaona vile vyuma vimekaza. Unaguza hii unawacha, kazi ni kutapatapa tu. Typical of bongalalas like you anyway
 
Back
Top Bottom