Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo hamtaki kuongelea mambo ya Covid tena na nyinyi ni nchi ya kuigwa!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vyuma vimekaza kweli
Mcpoteze maboya kuhusu covid-19 tukutane kwny uzi wa covid-19, hakuna shirika duniani likawa na crew ya kigeni km hii zaidi ya kunya land[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1583754049648.jpeg
 
hakuna nchi isiokua na janga la corona tunachowahurumia nyinyi muna majanga matatu

1.corona
2.hunger
3. locusts

huu mwaka lazima matokeo yajibu ili tuone uhalisia wa GDP upo wapi😂😂😂😂
Si unaona vile vyuma vimekaza. Unaguza hii unawacha, kazi ni kutapatapa tu. Typical of bongalalas like you anyway
 
Back
Top Bottom