Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,931
- 107,398
We mbona 1.6 mln tonnes per year ni kiasi kidogo sana? Ninavyojua Tanzania ina-produce over 10 mln tonnes per year!na unajua kwann nimesema sand cement na aggregates ni rahisi sana tanzania kwasababu tanzania ndio inaongoza kwa production ya cement in east africaπππ
View attachment 1429202
nimempa statistics ya zamani kidogo afahamu kwann mtu kujenga na kumiliki ardhi tanzania ni rahisi sanaWe mbona 1.6 mln tonnes per year ni kiasi kidogo sana? Ninavyojua Tanzania ina-produce over 10 mln tonnes per year!
Unatafuta pa kutokea sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hizi?
Tunaongelea idadi ya nyumba dar hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]na unajua kwann nimesema sand cement na aggregates ni rahisi sana tanzania kwasababu tanzania ndio inaongoza kwa production ya cement in east africa[emoji23][emoji23][emoji116]
View attachment 1429202
nakupa na chanzo cha kwann ujenzi ni wakutosha dar πππ kama huna ndoto ya kumiliki ardhi usihuzunike vumiliaπππTunaongelea idadi ya nyumba dar hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti umesemaje vile??
Dar watu 5m wanamiliki nyumba[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
eti enhhπππππUnatafuta pa kutokea sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukweli ni kwamba mnamiliki vyuma chakavu[emoji382][emoji382][emoji382]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa tunawapiga kila mahali mpaka ndege zao za kivita za KDF ni mikweche used!
Dangote cement alone ina-produce over 3.0 Mta!nimempa statistics ya zamani kidogo afahamu kwann mtu kujenga na kumiliki ardhi tanzania ni rahisi sana
Safi sana na jina la kitanzania [emoji122][emoji122]
Maskini[emoji1787][emoji1787]eti enhh[emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1429233View attachment 1429234
Lazima wakohoe mwaka huu, wkt tukiendelea kupambana na covid-19 dozi zinaendelea tu, tuliwaambia kuna mambo mengi ya kushangaza ya Tz ila bado hayajawekwa humu wakabisha, nadhani saivi wataanza kuelewa kwnn mzungu kasema Dar iko mbele ya Nairobi kwa value za estates? [emoji3][emoji3][emoji3]Kesho wakenya kaeni mkao wa kula
Nitawaletea segment mpya inaitwa dream houses Tanzania, ndio maana huwezi mlaza mtanzania kwenye broiler cages
Ngoja niwape kionjo cha hizo dream houses
View attachment 1429388View attachment 1429389View attachment 1429393View attachment 1429395
Tuonane kesho......
komora una chuchu nzuri za kutosha, hata usingizi leo haujiJf jamaa wambea, yani mi nimeweka km nilivyojua tu kuna mtu ataenda kupekua...
Ila maisha ndio yansonga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu ndio rais wa africa πΉπΏπΉπΏπππwe trending