Leo ndio nimeamini kwamba Nairobi ni ya kawaida tu
Alaf in ndogo sana tena sanaLeo ndio nimeamini kwamba Nairobi ni ya kawaida tu
Dar kuna magari kweli au nyi udandia Tembo?Leo ndio nimeamini kwamba Nairobi ni ya kawaida tu
Ukitaka kujua kuna magari anzisha ligi ndio utajua yapo au hakuna😀😀Dar kuna magari kweli au nyi udandia Tembo?
we wajua barabara ni nini kweli? Dar kuna barabara ya lane sita kweli au superhighways na flyovers wazijua au waziskia? ukitaka kuona barabara sema nikulete Nairobi.Kupitia hizi picha nimejua kwamba Nairobi ina majengo ya kizamani mengi ,barabara nyembana ,na barabara zenye vumbi ,itakuwa picha nyingine huwa mnaedit
Umeona picha alizo tuma mkenya mwenzio hapo juu ?we wajua barabara ni nini kweli? Dar kuna barabara ya lane sita kweli au superhighways na flyovers wazijua au waziskia? ukitaka kuona barabara sema nikulete Nairobi.
utajua hujui
unaeza anzisha pia.Ukitaka kujua kuna magari anzisha ligi ndio utajua yapo au hakuna😀😀
zakutia kiwewe?Umeona picha alizo tuma mkenya mwenzio hapo juu ?
mara nyingine usizungumzie kuhusu barabaraUmeona picha alizo tuma mkenya mwenzio hapo juu ?
noma sana kama hilo jengo la Nation media na chini yake kuna jengo kama hilo? duh huyu jamaa kanifumbua macho. real photos of a real place. yaani kama uso wa demu, wamasemaga no make up😀