Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf mwisho wa siku shares ndio hzi😂😂😂😂👇👇👇👇👇 inestors wanaondoka na pesa ya maana
C8461AE5-6BDA-4CD4-BB94-6C319B13E610.jpeg
 
Kabla ya kugawana hyo ksh 55bln GOK tayari imeshakwapua karibia nusu ya hyo hela(ksh24bln) halafu anasubiria wale mgao wa sawa kw sawa na vodacom halafu kilichobakia ni others

Utaumia sanaView attachment 1398936

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio karibia nusu ya pesa watachukua mgao wao wa 35% and no more😂😂😂😂 alaf ile share ya 65 percent inakwenda kwa investors
 
Kabla ya kugawana hyo ksh 55bln GOK tayari imeshakwapua karibia nusu ya hyo hela(ksh24bln) halafu anasubiria wale mgao wa sawa kw sawa na vodacom halafu kilichobakia ni others

Utaumia sanaView attachment 1398936

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninacho wapenda Wakenya wana pika data kila usiku na mchana katika nyanja zote ili wawe nafasi ya tatu au ya pili baada ya South Africa na Nigeria. Sasa bakuli la nini jomba 😂
 
investors ndio wanakula pesa zaidi
Pesa zaidi gani? Govt inabaki na more than 75% of all revenues na wewe bado unapiga kelele hapa. Hiyo bado hatujaongelea expenditures zenye almost 99% are injected into Kenyan market by safaricom.
Tukiangalia expenditures:
1. Workers - 99% Kenyans.
2. Electricity- KPLC
3. Transportation- Kenyan vehicles.
4. Water - Kenya.
5. Accommodation- Kenya
6. Among others

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwendeni huko, hata 7000km ndio hamjafika. Mbona msinionyeshe any article inayosema mmevuka 7000km. Kenya washapita 20,000km na nyinyi bado mnaoongea rumors hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Skia sibishani nikipata post ntaiweka nkikosa kaa na hyo figure yako ya 6400 ..tena hyo ni 2013 ..kama unaamini hatujaongeza more than 5k of paved roads in 7years fine


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom