Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe subiri uone kamasi vile zitawatoka hapo bado hawajawalipa wenye ndege zao 37 subiri usikie loss ya mwaka huu
Ndio sasa wanajua faida ya kununua ndege zao na hasara ya kuwa na ndege za kukodisha, wenye ndege wao hawajui kwamba kulikua na tatizo la Corona mkasimamisha biashara, kwao muamala lazima usome Kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio sasa wanajua faida ya kununua ndege zao na hasara ya kuwa na ndege za kukodisha, wenye ndege wao hawajui kwamba kulikua na tatizo la Corona mkasimamisha biashara, kwao muamala lazima usome Kama kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe ndio maana nawaambia subirieni muone loss ya mwaka huu muisikilizie😂😂
 
Upperhill Nairobi Kenya
IMG_20200318_195830.jpg
IMG_20200318_195823.jpg
 
Back
Top Bottom