Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii kitu iko na 84flr,350m tall,naona sasa mipango imerudi,kama itajengwa pinnacle itakuwa mtoto,

1582894666316.png

1582894666316.png
 
Hivi unadhani nili kuquote bila kuisearch hiyo riruta slum kwanza,
Riruta slum ni moja ya sehemu yenye vitendo hatarishi hapo Kenya kama ujambazi, ubakaji nk
Hiyo riruta slum ina vibanda vya mabati mnoo,
Yaani unachopost hapa ni sawa sawa uende katikati au pembeni ya kibera halafu ujenge nyumba nzuri halafu unakuwa umezungukwa na nyumba za bati after bati,
Kuna comments zipo kwa hii video zisome.

Hiyo video umepost inaonyesha nini zaidi ya watu ndani ya gari na shuguli kando ya barabara? What even proves it's Riruta? You you want to have an opinion about a place by using such a video? How stupid!

It's even laughable how you saying the houses I posted ziko nje ya Riruta. Now that you know better, tuletee picha 'halisi' za Riruta. Endelea kuishi ndani ya dream house kaka, usilazimishe tufanane
 
Hiyo video umepost inaonyesha nini zaidi ya watu ndani ya gari na shuguli kando ya barabara? What even proves it's Riruta? You you want to have an opinion about a place by using such a video? How stupid!

It's even laughable how you saying the houses I posted ziko nje ya Riruta. Now that you know better, tuletee picha 'halisi' za Riruta. Endelea kuishi ndani ya dream house kaka, usilazimishe tufanane
Ina maana huoni vichochoro pembeni ya barabara zinazoelekea kwenye nyumba za mabati,
Ubishi wa kijinga,
Ni pachafu mnoo.
https://epicafricantrip2011.wordpress.com/2011/08/03/riruta-slum-niarobi-kenya/
 
Hivi unadhani nili kuquote bila kuisearch hiyo riruta slum kwanza,
Riruta slum ni moja ya sehemu yenye vitendo hatarishi hapo Kenya kama ujambazi, ubakaji nk
Hiyo riruta slum ina vibanda vya mabati mnoo,
Yaani unachopost hapa ni sawa sawa uende katikati au pembeni ya kibera halafu ujenge nyumba nzuri halafu unakuwa umezungukwa na nyumba za bati after bati,
Kuna comments zipo kwa hii video zisome.

We also have Ruai "slum'' according to Ichoboy
images(171).jpg
images(217).jpg
images(210).jpg
images(203).jpg
images(178).jpg
images(177).jpg
Screenshot_20190817-111713.png


Compare with your dream houses in middle income estates 😂 😂 😂 😂
Screenshot_20200228-131720.png
Screenshot_20200228-131735.png
Screenshot_20200218-010839.png
Screenshot_20200216-004315.png
 
Kenya ni full of slums kila kona bila kusahau nyumba za mabati bati after bati lakini hutaki kabisa kusikia kuwa Kenya ina slums kila kona 😂😂😂
Hiyo riruta slum ni kubwa hapo nimepata tu vipicha picha ambavyo havija cover eneo kubwa.
Hii ndio riruta slum halisi wachana na alicho post,
Tena ni kama wameichapa filters hapa 😂😂😂
Nyumba za mabati kama kawaida. View attachment 1371632View attachment 1371633View attachment 1371634
 
Back
Top Bottom