Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Hao watanzania ambao Wana ajira wameajiriwa wapi,hebu nambia sekta ambayo imeajiri watanzania hata million tano? Ni sekta ipi hio ambayo ni multbillion dollar ambayo imepunguza kiwango Cha ajira Tanzania? Mbona mnashindwa kufikiria,au Ndio ile sekta ya umbea mnashinda vijiweni kubishana na jua likisogea pia mwasogea? Ama kweli wataalamu hawakukosea waliposema
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinatoa ajira gani... Mbona mnaongoza kwa unemployment rate hapa EA?
Kila mara visingizio tu,
Sasa mbona hivo viwanda vinafuta na kupunguza wafanyakazi sana!
Sent using Jamii Forums mobile app


