Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tutajie hao wasanii apart from Diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇fikeni hapa kwanza
Screenshot_20200211-202823_Chrome.jpg
 
Si kujenga locomotives! Itakuwa kama kipindi cha TAZARA na treni za Mchina! Mtu asikudanganye mtu kujithibitisha kwenye sector kama hizi! Mjerumani, Mjapani, Mkorea na Mfaransa ndo magwiji!
Hapana bro waturuki wachunguze sana kwenye technology wako vzr sana na ukitaka kuamini we subiri hii SGR ikamilike ndio utajua technology iliowekwa hapo nilipitia article moja inaonesha hii reli inayojengwa Tanzania itakua na ultra modern technology in Africa
 
Hapana bro waturuki wachunguze sana kwenye technology wako vzr sana na ukitaka kuamini we subiri hii SGR ikamilike ndio utajua technology iliowekwa hapo nilipitia article moja inaonesha hii reli inayojengwa Tanzania itakua na ultra modern technology in Africa
Sasa wanatengeneza matairi

 
Back
Top Bottom