Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo floors zingine zimefichika ndani ya hiyo wall ama point yako ni nini?
Yani niache kumuamini aliejenga nikuamini ww mpuuzi🤣🤣🤣🤣👇👇👇
Screenshot_20200210-182923_Chrome.jpg
Screenshot_20200210-182932_Chrome.jpg
 
Mbona unaamini mimi wakati huwezi amini hata kitu macho yako inakuonyesha? Amini macho yako kwanza ndo uniamini
Manina niamini macho yako ambayo unasema hii ni floor 😁😁😁👇👇👇
Screenshot_20200205-215959_Chrome.jpg
 
Ppf ishaisha ujenz na aliejenga kasema 37 floors so we unataka aseme nani 🤣🤣🤣🤣🤣 au unataka kenyatta ndio aseme
37 floors indeed. With this kind of reasoning and mindset, it's no wonder you are still an LDC
 
Mbona uniamini mimi wakati huwezi amini hata kitu macho yako inakuonyesha? Amini macho yako kwanza ndo uniamini
Yani nihesabu floors 500m wakat sioni everything 😁😁😁😁 aliejenga jengo anakwambia hvi ww mpuuzi mwenye wivu wa kike unasema vile
 
But you can't agree with them if there was an upgrade or a downgrade!!! So interesting

I posted this because the data have been updated recently, I used to check a lot way back when we had disagreements about the Height and number of floors about TPA, there was nothing . Hizi data zimewekwa hivi karibuni Ndio maana nikapost hapa. Ukiangalia hata kule SSC hamna height ya TPA , Ingekuwepo hapo zamani tungeshaweka.
Hii Haina case sawa na Hazina wala GTC. They have recently uploaded photos and information on all their projects .


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom