Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu mzee naye aache uzushi! Zile nyimbo za kuhamia Dodoma zimeishia wapi? Au ndo kupunguza gharama huku kusafirisha mawaziri na maofisa wa Wizara na serikali kila siku kuhudhuria uapisho Magogoni! Awe mkweli uhamisho wa serikali Dodoma ulikuwa changa la macho! Binafsi sijapenda kukengeuka na kugeuka kwake huku juu ya suala zima la kuhamia Dodoma! Akakae Dodoma kama baraza lake la Mawaziri linavyoishi huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…