Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

inakaa umetoka kwa shimo leo, kwani investors si watu? don't we buy? don't you know you can also buy an apartment and rent? wewe si investor ukifanya hivyo?
Haaa! na akili zangu timamu ninunue hizo nyumba kama madarasa 😇😇😂😂😂😂sahau nyie watu wa ajabu sana. Haya tuletee makazi tofauti na estates 😂😂😂😁😁
 
Hela ya ku buy iko wap hela ya kumiliki kiwanja huna utaweza buy😁😁😁 ndio maana munaishia kwenye slums na kwenye bedsitter za umoja slums
Kibera area of 5km ina watu 2.5m alaf unataka watu wanunue nyumba
zidi na huo ujinga tu.
 
Haaa! na akili zangu timamu ninunue hizo nyumba kama madarasa 😇😇😂😂😂😂sahau nyie watu wa ajabu sana. Haya tuletee makazi tofauti na estates 😂😂😂😁😁
Muulize hio pesa iko wap ikiwa viwanja hawana vinamilikiwa na politicians pamoja na investors + wafanyabiashara wakubwa sana
 
Mombasa
images (33).jpeg
images (30).jpeg
images (31).jpeg
images (32).jpeg
images (23).jpeg
images (24).jpeg
images (28).jpeg
images (29).jpeg
 
Haaa! na akili zangu timamu ninunue hizo nyumba kama madarasa 😇😇😂😂😂😂sahau nyie watu wa ajabu sana
Hutanunua kwa kuwa wewe hauna kitu cha maana cha kufanya mjini. If you're working within a city and need good housing then that's the option world over. I can count at least 10 friends who own stand alone houses, some even rentals outside the city but still rent an apartment within the city. My wife's father has been doing that for like 40 years. I do the same. I can bet even the president has an apartment kwa hizo "madarasa.' Ever wondered why condos are popular in places like Manhattan yet most owners are dollar millionaires and can buy houses in suburbs?
 
Hutanunua kwa kuwa wewe hauna kitu cha maana cha kufanya mjini. If you're working within a city and need good housing then that's the option world over. I can count at least 10 friends who own stand alone houses, some even rentals outside the city but still rent an apartment within the city. My wife's father has been doing that for like 40 years. I do the same. I can bet even the president has an apartment kwa hizo "madarasa.' Ever wondered why condos are popular in places like Manhattan yet most owners are dollar millionaires and can buy houses in suburbs?
Sasa hadithi yote ya nn hvi ww mungekua na uwezo wa kanunua hzo nyumba in kibera 5km area 2.5m people wanafanya nn
 
Hutanunua kwa kuwa wewe hauna kitu cha maana cha kufanya mjini. If you're working within a city and need good housing then that's the option world over. I can count at least 10 friends who own stand alone houses, some even rentals outside the city but still rent an apartment within the city. My wife's father has been doing that for like 40 years. I do the same. I can bet even the president has an apartment kwa hizo "madarasa.' Ever wondered why condos are popular in places like Manhattan yet most owners are dollar millionaires and can buy houses in suburbs?
The question is how many Kenyans own estates? nazungumzia tu for those who are in Nairobi. That's why ratio kubwa ya wakenya iko kwenye slums, they have no ability to buy a portion of land na kujenga nyumba
 
Na hzi ndio estates hawawez kukuonesha😁😁


Just a negative effect of rapid economic expansion and the Nairobi county government was unprepared. bara bara zitatupata mbele. Gumba and places like Kasarani were actually good estates around 2005 before buildings sprung up all over. Most of these residential buildings you can tell they're barely 10 years old.
 
Jibu lake hili hapa bro usihangaike😁😁👇👇


Hawa middle income wanachekesha 😂😂utaskia ohh Nairobi ina GDP kubwa kuliko Tanzania nzima, kumbe huwajui kuwa GDP yao is due to high rate of inflation in Nairobi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom