Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Largely debt-driven growth. Hoping it's being channeled to the right places
Kenya debt to GDP ratio 70%

Tanzania debt to GDP ration 37%

Akili haikai matakoni😁😁☝️☝️☝️
 
Hata hizo commuter train tunazo jombaaa usidhani dar ligi yako,kuna inayotoka posta CBD to pugu nje kidogo ya mji,kuna inayotoka posta CBD kuelekea kinondoni,kuna inayotoka tazara kuelekea kajiungeni(nje kidogo ya mji)..nyie kama mmeshindwa kujenga BRT ni bora kukubali matokeo tu


A lot of excuses😂😂😂🤣🤣
Hata hamueleweki, mara iko commisioning, mara survey, mara inafanya. Anyway, it doesn't get our attention because it's some outdated stuff. Nairobi commuter ni new coaches and stations babaa. The old ones kama hiyo inneficient Treni ya makyembe tumewacha kwenye Railway Museum.
 
Hata hamueleweki, mara iko commisioning, mara survey, mara inafanya. Anyway, it doesn't get our attention because it's some outdated stuff. Nairobi commuter ni new coaches and stations babaa. The old ones kama hiyo inneficient Treni ya makyembe tumewacha kwenye Railway Museum.
Mbona mumeenda kurudia utumbo kwenye SGR 😁😁😁😁😁 kama kweli mumeacha museum
 
zidi kuruka ruka lakini ukweli waonekana wazi.
Kwanza tafuta suburb kama hii Mombasa alaf rudi hapa
1548067_19955887_10209594898408501_2266029916323921865_o.jpg
 
Watakuletea estates maana hawana kingine, waambie wakuletee makazi tofauti na estates za investors ukumbuke kunitag wakileta 😂😂😂
Azitoe wapi Mombasa 😁😁😁 yani ukiskia Mombasa ni mji mmoja mbovu sana
 
Watakuletea estates maana hawana kingine, waambie wakuletee makazi tofauti na estates za investors ukumbuke kunitag wakileta 😂😂😂
inakaa umetoka kwa shimo leo, kwani investors si watu? don't we buy? don't you know you can also buy an apartment and rent? wewe si investor ukifanya hivyo?
 
inakaa umetoka kwa shimo leo, kwani investors si watu? don't we buy? don't you know you can also buy an apartment and rent? wewe si investor ukifanya hivyo?
Hela ya ku buy iko wap hela ya kumiliki kiwanja huna utaweza buy😁😁😁 ndio maana munaishia kwenye slums na kwenye bedsitter za umoja slums
Kibera area of 5km ina watu 2.5m alaf unataka watu wanunue nyumba
 
Back
Top Bottom