Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20200115_124738.jpg

Ahaaaaa. 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na hio ndio ukweli hata mama hutaki mashamba ya ardhi yenye ratiba yote yako chini ya white settlers wewe mzungu anapanda maua akauze kwao anawaacha wakenya million 50 na njaa alaf unakuja hapa kuongelea GDP😀😀😀😀 nimeenda Kericho mm mashamba karibia yote ya wazungu tena mzungu alivonaakili kawajengea mpaka vijumba wakulima wakae pale pale 🤣🤣🤣🤣
Believe what you want kijana wa tandale. Siwezi toa fikra umewekewa akilini mwako na mababu zako led by Nyerere himself. Who am I to do that?
 
Na nikisema ni white elephant 🤣🤣🤣🤣 na sio hio zipo kibao kuna montave kuna Nairobi 88 etc 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
How does a court case make it a white elephant? Unajua maana ya kitu kuitwa white elephant kweli ama wewe unapurukuka tu? I know English ain't your stronghold so hold your horses. We are a country governed by the rule of law
 
How does a court case make it a white elephant? Unajua maana ya kitu kuitwa white elephant kweli ama wewe unapurukuka tu? I know English ain't your stronghold so hold your horses. We are a country governed by the rule of law
Hahahah leo miaka mingap hvi ww unataka kuona watu wajinga sana humu 😀😀😀😀😀😀
 
Na hii thread ilipoanza wakenya wengi walikua hii ni ile dar ya 90s walikuja na dharau nyingi sana hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 leo hii hawaamini wanachokiona
Hata mimi siamini ninachokiona
Screenshot_20190801-151402.png

Dar ya 2020!
New York of Africa 😂 😂 😂 😂
 
Hebu zoom utuoneshe slum mm nataka kuona kati ya ww na mzungu nani anaakili 😀😀😀😀😀
Ni wapi nimetaja neno slum kwenye post yangu? Mbona huwa unajishuku sana kila tunapopost hizi picha za dream houses zenu na kuanza kutajataja neno slum? I only showed a picture of your dream houses. Hivi, dream house yako iko wapi hapo ndani?
 
Kumbe unazipenda estate na unapenda town planning kwa nini unaendelea kujenga dream houses kwenye slums across Dar na other towns hapa Tzn?
Mimi nadhani tuendelee kujenda hivi hivi ili iitwe unplanned settlements sio slums kwa vile muzungu/beberu haioni kwenye google kama wenzako wanavyosema humu jukwaani
 
Yani mabibo ndio unafananisha na cbd yenu?mbona umeishiwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Since when did Community area become Nairobi's cbd. Mwenzako alisema Nairobi ni misitu so I only showed him moja ya hizo misitu na kulinganisha na Dar yenu yenye haina misitu. Mbona Umekasirika? Kumbe hata nyinyi pia mngependa Dar pia iwe na misitu ila kusema ndio hamtaki!!! 😂 😂 😂
 
Kumbe unazipenda estate na unapenda town planning kwa nini unaendelea kujenga dream houses kwenye slums across Dar na other towns hapa Tzn?
Mimi nadhani tuendelee kujenda hivi hivi ili iitwe unplanned settlements sio slums kwa vile muzungu/beberu haioni kwenye google kama wenzako wanavyosema humu jukwaani
They'd rather call them unplanned settlements but not slums forgetting that the words slums and unplanned settlements are used interchangeably. Inferiority complex plus living in denial is a lethal combination
 
Back
Top Bottom