Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiukweli tumepoteza muda sana toka Awamu ya Mwinyi haki Jakaya,
Halafu unakuta kuna fala mitandaoni anasema sijui nini uhuru wa Kujieleza and all the nonsense.
Tungekuwa na huyu Mwamba kwa miaka 20 nchi hii itakuwa ulimwengu wa Kwanza.
Kama walivyokua wakisema TZ is a sleeping giant sasa inabidi tuongeze msemo mwingine "If the Giant starts to walk, no dwarf will catch him even if they try to run".
Dwarfs wanajijua
 
CBD beeibiii
2257024_tapatalk_1577649772034.jpeg



Hii picha ya mtaa wa Morogoro na Jamhuri, inatatizo gani?
 
Engineer kweli umeishiwa!!!

Jangwani hakuna asiyepajua, hata Wakenya wenzako wanajua Jangwani na dhahama zinazotokea pale... ni flooded area mafuriko kila baada ya mvua

Kuna DMDP chini ya WB patapakoleza hapo soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwaaaahhh naona unaokota picha hadi za 1990 sisi tumemuachia injinia levi athletes picha ila naonq anaposti majalala tu na nyumba 10 zenye bati la kutu na kuusu vibada dar es salaam nadhani ukusikia magufuli kuruhusu vitambulisho vya wafanya biashara ndogo ndogo bila kubuguziwa ndiyo maana wamejenga vibanda vya chakula na awaguswi
The level of ushambaness in daresalaam is shocking......most of them are far from urban mentality.....hata uber iligive up....View attachment 1307788View attachment 1307789View attachment 1307790View attachment 1307791

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Engineer leta pichakuna watu huku wanaumua hadi wanenda mitandaoni kutafuta random pics za ghetto...

Tuma vitu engineer

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunaona anaposti takataka tena sababu huu mwezi kuna matatizo ya mashine za dampo ndiyo takataka vikashindikana kushuswa dampo ila bado atujaona slum na majjna yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usihofu na Gtc,river estate ndio itawapa mshituko wa moyo zaidi...kwa sasa wamemaliza eneo la mto na nguvu yote iko kwenye excavation. After holiday ndio kazi sasa inaanza lasimi, sasa battle itakua Ngara vs Dar over 30 floor.....Ngara nane nayo Dar saba peke
Gtc ndio zinawapa kiwewe na haziijakamilika sijui zikifunguliwa kama tutakunywa maji

Sent using Jamii Forums mobile app
tapatalk_1577768909210.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tunaona anaposti takataka tena sababu huu mwezi kuna matatizo ya mashine za dampo ndiyo takataka vikashindikana kushuswa dampo ila bado atujaona slum na majjna yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Km nynyi mnaona takataka basi shauri yenu, sisi tumeona cbd, upanga beebii nk..
Kwhyo hzo takataka na sijui mashine ambazo zinamatatizo hazituhusu katika mada yetu ya dar cbd beeibii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna wajishuku

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijishuku nimeuliza kwa kuwa hiyo picha imewekwa hapa mara mbili na sioni ubaya wake.

Kama tatizo lako ni ukungu (moss) kwenye hilo ghorofa la benki basi elewa hiyo inatokana na hali ya hewa ya Dar es salaam.

Hewa ya hapo ina ufukuto (unyevu nyevu), utokanao na matonetone madogo ya maji kutoka baharini, ambayo hutengeneza mazingira ya ukungu (algae/moss) kuota. Hata ukipaka rangi leo baada ya miezi sita kutaota ukungu mwingine.

Zaidi ya hapo sioni tatizo la hiyo sehemu na hasa ukizingatia hayo nia makazi ya watu (Dar, watu wanakaa katikati ya mji)
 
Sijishuku nimeuliza kwa kuwa hiyo picha imewekwa hapa mara mbili na sioni ubaya wake.

Kama tatizo lako ni ukungu (moss) kwenye hilo ghorofa la benki basi elewa hiyo inatokana na hali ya hewa ya Dar es salaam.

Hewa ya hapo ina ufukuto (unyevu nyevu), utokanao na matonetone madogo ya maji kutoka baharini, ambayo hutengeneza mazingira ya ukungu (algae/moss) kuota. Hata ukipaka rangi leo baada ya miezi sita kutaota ukungu mwingine.

Zaidi ya hapo sioni tatizo la hiyo sehemu na hasa ukizingatia hayo nia makazi ya watu (Dar, watu wanakaa katikati ya mji)
Nani aliyekutuma uje kulalamika sasa, hawa TISS si wanawatumia vibaya jamani...
Sasa mimi nimekwambia tunaona cbd wewe unakuja kulialia hapa...

Narudia tena, sisi tunaona dar cbd beeibii usitake kunitoa kw mada kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitoa milima milima ya igogo na mabatini vilima vingine viko poa tu, just seeView attachment 1307947View attachment 1307948View attachment 1307949View attachment 1307950View attachment 1307951View attachment 1307952hata hivyo kwenye hiyo milima ya igogo na mabatini watu wanajaribu kuboresha makazi yao. Nyumba zao huwezi linganisha na ujinga wa kibera View attachment 1307953
Mjinga mmoja anajifariji na pcha za mwanza za 2000s mwengne analeta pcha za Morogoro anasema Dar eti wanajaribu kutuongopea WaTz kuusu Tz wakenya kweli wase**ge
 
Sijishuku nimeuliza kwa kuwa hiyo picha imewekwa hapa mara mbili na sioni ubaya wake.

Kama tatizo lako ni ukungu (moss) kwenye hilo ghorofa la benki basi elewa hiyo inatokana na hali ya hewa ya Dar es salaam.

Hewa ya hapo ina ufukuto (unyevu nyevu), utokanao na matonetone madogo ya maji kutoka baharini, ambayo hutengeneza mazingira ya ukungu (algae/moss) kuota. Hata ukipaka rangi leo baada ya miezi sita kutaota ukungu mwingine.

Zaidi ya hapo sioni tatizo la hiyo sehemu na hasa ukizingatia hayo nia makazi ya watu (Dar, watu wanakaa katikati ya mji)
Mkuu achana na huyu jamaa hata mimi nimeshindwa kumuelewa picha nyingi tu alizotuma,kuna baadhi ya picha amepiga kuonyesha maji ya mvua chini ambao kuna nyingine amepiga mvua ikiwa inanyesha wkt huo huo kwake ni shida sasa sijui alitaka msimu huu wa mvua chini aone almasi zikiwa zimezagaa!mvua zikinyesha lazima uone maji sema ajiulize yanakaa kwa muda gani baada ya mvua kukatika?!Anahangaika sana.
 
Back
Top Bottom