Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyi kweli mwasikitisha unaeza fananisha ii kitu na UAP, Sydney Opera, Brandenburg Gate, Eiffel Tower, RICC kweli. unafaa kujua maana ya hizo lights
Nimekuuliza swali wewe shida yako taa kwasababu unachotafuta ni upuuzi umehangaika kote umeona pagumu umeona uje na taa, umeanza na conference center umeekewa za adabu umehamia taa 😀😀😀
 
nyi kweli mwasikitisha unaeza fananisha ii kitu na UAP, Sydney Opera, Brandenburg Gate, Eiffel Tower, RICC kweli. unafaa kujua maana ya hizo lights

we si umeomba jengo lenye taa, zinazowaka na kubadilika rangi? au uliomba tukupe kitu kama Sydney Opera, Brandenburg Gate, Eiffel Tower, RICC ?

Majengo yetu haya mawili yana taa na ni ya zamani kuliko hilo lenu, so sio mbaya sana labda kama unataka ku prove kitu flani.

From Raha tower rooftop by indaressalaam, on Flickr


EXIM_TOWER-1.jpg
 
kadoda11 for once we agree 😀😀 good you into hip hop....
yeah man,i'm into hiphop(the old school east african hiphop).

i'm still listening to old school joints of kalamashaka,uko flani maumau,K-south and necessary noise.
 
Tujuzane: Ni wapi ambako wazawa na Serikali zao wanamiliki haya majengo mazuri kwa wingi? Je, uhuru wa raiya kuingia Hotel lolote pasipo ubaguzi uko Taifa lipi? Je, ni nchi gani ina mazingira mazuri na yasiyo na ubaguzi ambapo raiya wake ana uhakika wa kufanya biashara na kuwa Tajiri haraka kati ya hizi mbili?

HAPA TUMEKUWA WATUMWA WA KUSHABIKIA MAFANIKIO YA MIRADI YA WANYONYAJI WASIOJALI MASIKINI.
Swali lako zuri sana....majengo mengi mazuri kenya yanamilikiwa na mashirika ya nje pamoja na wawekezaji kutoka nje.......
Na majengo mengi mazuri Tanzania yanamilikiwa na serekali pamoja na watu binafsi( wazawa)
 
Nairobi
Yaani Jengo jipya kila wakati linakamilika Nairobi.
Hili hapa linakamilika huku hapohapo jingine linainuka
18579641_126492301252289_1713837554790301696_n.jpg
18579954_834619283356478_6459131265537802240_n.jpg
33375498964_410e0a5687_b.jpg
34176940566_f155abc9eb_b.jpg
 
Am torn between whether I should ignore you or try to reason with you.
The fact that you think that is proof!! am better off ignoring........
ni kheri tu unipuuze kuepuka "kujitia" aibu kuliko kuendelea kuladhimisha mjadala na mimi.

ni ukuweli usio na shaka kuwa kiswahili kitamu tunachozungumza watanzania,kinapendwa sana na watu wa EA hususani wakenya,kushinda kiswahili kibovu kinacho zungumzwa kenya.

ushahidi mwingine wa wakenya wanaosifia kiswahili cha tz ni huu hapa.

5f733c263589fdafb1bee8db2742fed8.jpg
8d2386dd18abd2f2d1e107b77653379e.jpg

ukurasa wake wa Facebook: Esther Kinuthia.

huyu pia ni mkenya na ni member maarufu hapa jf.
kwakuwa namuheshimu sana,nimeonelea si vema kuweka wazi account yake facebook.yeye mwenyewe anajifahamu,bila shaka huwa anafatilia thread hii.
31ad0ab56262afaad9dd8c86963e3457.jpg
 
Nimekuuliza swali wewe shida yako taa kwasababu unachotafuta ni upuuzi umehangaika kote umeona pagumu umeona uje na taa, umeanza na conference center umeekewa za adabu umehamia taa 😀😀😀
hapa naona lugha zagongana. hauelewi kitu. Dar hakuna jengo lilio na LED Lights au Projector lights. hizo ni aina za Lights mbili tofauti na zina maana yake. Jengo lile la Conference centre lilikuwa la Rwanda lililoonyesha rangi za bendera ya Rwanda. hizi 'Lights' huwa na maana yake ambayo sitaki kugusia kwa sasa maana ni hadithi ndefu. sasa nitafutie jengo lililo na Led Lights ndani ya darislum.... kumbuka hizi lights si hivi hivi... zina maana sana kwa Nchi nzima na watu wake.
here take a look at Brandenburg Gate kwa madaha yake ujifunze sio kukurupuka tu

Daytime
320px-2005-10-26_Brandenburger-Tor.JPG

Night
1491294356_collage terror brandenburg gate lit up dpa.jpg
 
we si umeomba jengo lenye taa, zinazowaka na kubadilika rangi? au uliomba tukupe kitu kama Sydney Opera, Brandenburg Gate, Eiffel Tower, RICC ?

Majengo yetu haya mawili yana taa na ni ya zamani kuliko hilo lenu, so sio mbaya sana labda kama unataka ku prove kitu flani.

From Raha tower rooftop by indaressalaam, on Flickr


EXIM_TOWER-1.jpg
naona unanipata lakini ni kupuuza tu unapuuza. sasa hivi hizo nyumba mbili zinabadilisha rangi? na ni rangi gani/ unaeza relate vipi na hizo rangi? wacha upuzi bana
 
hapa naona lugha zagongana. hauelewi kitu. Dar hakuna jengo lilio na LED Lights au Projector lights. hizo ni aina za Lights mbili tofauti na zina maana yake. Jengo lile la Conference centre lilikuwa la Rwanda lililoonyesha rangi za bendera ya Rwanda. hizi 'Lights' huwa na maana yake ambayo sitaki kugusia kwa sasa maana ni hadithi ndefu. sasa nitafutie jengo lililo na Led Lights ndani ya darislum.... kumbuka hizi lights si hivi hivi... zina maana sana kwa Nchi nzima na watu wake.
here take a look at Brandenburg Gate kwa madaha yake ujifunze sio kukurupuka tu

Daytime View attachment 512287
Night View attachment 512288
ha ha haa kweli wew ni mlevi hauna...point umekosa hoja za kuleta
 
This iconic building will come alive on the 1st of June. Madaraka Day (Kenya) Picha mutazipata
CzSRwaTXgAAeNFk-1.jpeg
 
ni kheri tu unipuuze kuepuka "kujitia" aibu kuliko kuendelea kuladhimisha mjadala na mimi.

ni ukuweli usio na shaka kuwa kiswahili kitamu tunachozungumza watanzania,kinapendwa sana na watu wa EA hususani wakenya,kushinda kiswahili kibovu kinacho zungumzwa kenya.

ushahidi mwingine wa wakenya wanaosifia kiswahili cha tz ni huu hapa.

5f733c263589fdafb1bee8db2742fed8.jpg
8d2386dd18abd2f2d1e107b77653379e.jpg

ukurasa wake wa Facebook: Esther Kinuthia.

huyu pia ni mkenya na ni member maarufu hapa jf.
kwakuwa namuheshimu sana,nimeonelea si vema kuweka wazi account yake facebook.yeye mwenyewe anajifahamu,bila shaka huwa anafatilia thread hii.
31ad0ab56262afaad9dd8c86963e3457.jpg
I can't argue with someone who brings a social media profile as proof! Are you serious?!
I never disputed that kiswahili cha tz ni kizuri.... here I am trying to reason with a
https://www.jamiiforums.com/members/kadoda11.34552/ really, what are my chances?! Next to none!! So run along,...do your thing.... make you happy.....
 
Testing 1, 2
Testing 1, 2
Testing on Projector lights still on-going. Stay tuned as soo you will be able to see Faces of the Most Famous people lighting up the only recognized City in Africa outside South Africa View attachment 512302
 
Back
Top Bottom