Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Quality roads in Tz

Hiyo barabara hapo ni mikumi national park nilisikia barabara hiyo kuna mpango wa kuihamisha ili kukwepa kuwasumbua wanyama. Hiyo barabara inapita katikati ya mbuga so wanyama wengi wasiopenda binadamu wamesogea mbali zaidi. Hapo ukipita mchana utaishia kuona swala,nyumbu, zebra, tembo, nyumbu twiga etc. Sasa serikali wameliona hili kwahiyo iyo barabara kuna jamaa wanalima nyanya hapo kando na mbuga wamesema hiyo barabara itakufa itajengwa nyingine kuizunguruka mbuga ila kuwaacha wanyama wajinafasi kwenye eneo lao. Na hiyo ndio sababu kubwa barabara hiyo kuwa hivyo.
 
But do your stations consider them? because I know for a fact that they do not. Dar sgr station has escalators, stairs and lifts to serve everyone, not just people who are able to walk. Hata nje landscaping haitakuwa na ngazi mia kama kwenye sgr station zote za kunyaland. Mchina aliona awafanyie bullshit
Your argument is still too shallow. Have staircases become mapambo ambayo yanawekwa kupendeza macho? They are only erected where they are need and this is depending on how elevated a place is. And by saying walemavu hawajakuwa considered, have you confirmed this ama wewe ni kuongea tu?
 
Ratio ya watanzania wanaofanya kazi kwenye mradi ni considerable kuliko wakenya walioko kwenye mradi wenu. Wapo engineers wa Kitanzania wengi tu wanaofanya kazi kwenye huu mradi. tatizo sio contractor, tatizo ni idadi ya wazawa wanaofanya kazi kwenye mradi na kwa hili hapa mjinga ni wewe
Can you prove these claims? That more Tanzanians are working on construction works of your SGR and that fewer Kenyans were involved in the construction of our SGR and its operations? Ama kila kitu unatoa tu kichwani?
 
Your argument is still too shallow. Have staircases become mapambo ambayo yanawekwa kupendeza macho? They are only erected where they are need and this is depending on how elevated a place is. And by saying walemavu hawajakuwa considered, have you confirmed this ama wewe ni kuongea tu?
I told you that I know for a fact! and yes, walemavu hawajawa considered. Usijifanye unajua kuongea sana, niletee proof inayoonyesha kuwa walemavu wamepewa nafasi ya kutumia hizo stations maana sidhani hata parking lot zina handicap spots.
 
Back
Top Bottom