Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 16,636
- 11,365
Ungetuonyesha yenu badala ya kutoa povu ndoo nzima π π πAnother Mchina shit project. Project worth $600M alafu mchina anakusanya toll kwa miaka 30, kidogo kidogo kila kitu Nairobi kitakuwa chini ya mchina, kaanza na reli sasa barabara.....the only public good in Nairobi itabakia sunlight na air