Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa dondosheni bomu muanze upya
Mtangulize na hii hapa kisha tuwafate

Screenshot_20190801-151536.png
 
Labda zoom utuoneshe slum naona unahangaika sana kutafuta slum 😆😆😆 utapata tabu sana
Alosema ni slum nani? Hiyo ni middle income estate ndani ya Dar 😂 😂 😂
And by the way, iweje siku hizi unakubali hizi ni picha za Dar?? Ama wacongo na wanaijeria hatimaye walizakana?
 
Ichoboy, hii hapa ni ya Congo Brazaville au Congo Kinshasa? 😂 😂 😂 😂

Screenshot_20190801-184138.png
 
Alosema ni slum nani? Hiyo ni middle income estate ndani ya Dar 😂 😂 😂
And by the way, iweje siku hizi unakubali hizi ni picha za Dar?? Ama wacongo na wanaijeria hatimaye walizakana?
Unajifanya kuzuga 😆😆😆 wewe tuoneshe slum hapo leo tujue mzungu ni mjinga hana akili😁😁😁 zoom hapo utuoneshe slum

Mzungu aeke sattelite ya trillions of money alaf aone slum za naorobi asione dar 😅😅😅
 
Watu wanafkiri mzungu alikosea kusema slum ziko nairobi😆😆😆😆👇👇👇👇
86ED90DA-995E-44B2-A0A6-0DDA5F470248.png
5E1FE69C-61A9-4468-99A8-71AB9020FC6E.png
9D556834-6DA5-42D7-B726-A9D6228BD706.png
11F1A67E-EA49-4924-8C32-FF2D3185F3D5.png
4FB25D39-CAB5-449A-81A8-E399E6F14008.png
 
Unajifanya kuzuga 😆😆😆 wewe tuoneshe slum hapo leo tujue mzungu ni mjinga hana akili😁😁😁 zoom hapo utuoneshe slum

Mzungu aeke sattelite ya trillions of money alaf aone slum za naorobi asione dar 😅😅😅
Narudua tena na naomba unisikie Kwa making.... Mimi hakuna mahali nimesema hiyo ni slum. Nilichosema ni kwamba hiyo ni middle income estate ya Dar and it looks lovely from above
 
Narudua tena na naomba unisikie Kwa making.... Mimi hakuna mahali nimesema hiyo ni slum. Nilichosema ni kwamba hiyo ni middle income estate ya Dar and it looks lovely from above
Kwan mm nimeanza kukujua ww leo au???😆😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom