Mkuu, yaani Dar nzima ni hutu tuvitu tuwili tu? lahaula!
at least saa ii atakua anaget poosay zote zilikuwa zikimlenga before. but poosay zote zinakam na gharama na maintenance ya io gari pekee is going to milk the money remaining in the account dry. having that car around needs a good neighbourhood too.The 221 Million Sportpesa winner is already spending the money!!! He just bought a Mercedes Benz worthy 33 million
Someone should have advised him
![]()
![]()
![]()
At least siyo nusu majengo nusu Antenna!Mkuu, yaani Dar nzima ni hutu tuvitu tuwili tu? lahaula!
sa mbona walia?At least siyo nusu majengo nusu Antenna!
Aliye buni na wahusika wote wa hili jengo wachukuliwe atua stahiki ya kufikishwa mahakamani
half of it mnara urefu wa jengo na hilo LA mbele wamepishana kwa mnara tuHahaha Jengo Fupi kuliko Mnara!!Aliye buni na wahusika wote wa hili jengo wachukuliwe atua stahiki ya kufikishwa mahakamani
How can you design ugly jengo like thishalf of it mnara urefu wa jengo na hilo LA mbele wamepishana kwa mnara tu
Umejiuliza huo mnara ni wa nini, ama unadhani ni wa kuanikia nguoAliye buni na wahusika wote wa hili jengo wachukuliwe atua stahiki ya kufikishwa mahakamani
How can you design ugly jengo like thishalf of it mnara urefu wa jengo na hilo LA mbele wamepishana kwa mnara tu
I'm not a crybaby, Ningefurahi kama unge-reply picha yangu na picha inayoonyesha sehemu ya Nairobi yenye 5 buildings with 30+ floorssa mbona walia?
Jengo baya sana ata Kama mnara unakazi wangetafuta njia nzuri ya kuweka izo kazi badala ya nusu ya jengo kuwa mnara ndio maana nimesema wabunifu wachukuliwe atuaUmejiuliza huo mnara ni wa nini, ama unadhani ni wa kuanikia nguo
Tunajenga 67floors sasa. Kuwa mpole.I'm not a crybaby, Ningefurahi kama unge-reply picha yangu na picha inayoonyesha sehemu ya Nairobi yenye 5 buildings with 30+ floors
Sifa za kijinga, sasa hata kama kashinda ww umefaidikaThe 221 Million Sportpesa winner is already spending the money!!! He just bought a Mercedes Benz worthy 33 million
Someone should have advised him
![]()
![]()
![]()
SIFA ZA KIJINGA, WAKENYA KWA ULIMBUKENI BASI TU!The 221 Million Sportpesa winner is already spending the money!!! He just bought a Mercedes Benz worthy 33 million
Someone should have advised him
![]()
![]()
![]()
Mkuu,, aliyebuni hili jengo pia ni mKenya!!! kwa hivyo kuwa wa kwanza kuwapa waKenya heshima yaoSometimes ukweli usemwe Una compare jengo nusu mnara and this ,aliye buni ili jengo apa apewe heshima zake sio aliye buni mnara Kyle Kenya au alikuwa anajenga mnara wa babeli![]()
![]()
![]()
View attachment 507437
Always money talk!Sometimes ukweli usemwe Una compare jengo nusu mnara and this ,aliye buni ili jengo apa apewe heshima zake sio aliye buni mnara Kyle Kenya au alikuwa anajenga mnara wa babeli![]()
![]()
![]()
View attachment 507437
kama ni control tower tuambieUmejiuliza huo mnara ni wa nini, ama unadhani ni wa kuanikia nguo

Sifa za kijinga, sasa hata kama kashinda ww umefaidika
SIFA ZA KIJINGA, WAKENYA KWA ULIMBUKENI BASI TU!

Heshima imfikie mbunifu,ila kwanini amewaacha wakenya wenzake wanajenga mnara wa babeliMkuu,, aliyebuni hili jengo pia ni mKenya!!! kwa hivyo kuwa wa kwanza kuwapa waKenya heshima yao

huo mnara uko na kazi yake. halafu si makosa yako kwa sababu hamuna uzoefu wa majumba marefu darislum. ndio mumenza jana wakati sisi tuliyakuta tayari keshajengwa enzi za babu zetuHeshima imfikie mbunifu,ila kwanini amewaacha wakenya wenzake wanajenga mnara wa babeli![]()
Povuuuuuuhuo mnara uko na kazi yake. halafu si makosa yako kwa sababu hamuna uzoefu wa majumba marefu darislum. ndio mumenza jana wakati sisi tuliyakuta tayari keshajengwa enzi za babu zetu
