Search mbona we mvivuπππ na ueke akilini tanzania ni kubwa mara mbili ya kenya usisahau hio
Search uilete hapa acha maneno mengiππππ aliekwambia ukubwa haujalishi nani???Ukubwa haujalishi
Tanzania pia ni tajiri sana kuliko kenya
Utasema sewage % ya tanzania ama
Search uilete hapa acha maneno mengiππππ aliekwambia ukubwa haujalishi nani???
ππππππππ robo ya kenya inamilikiwa na kenyatta
Kwan nimekuletea nn hapaπππ which developments ??? Ushuzi mtupuNi search nn .????
Ww ulisearch ???
Obviously when it comes to development matters Kenya beats all east African nations
Umekasirikaππππand so what ?????
Kwan nimekuletea nn hapaπππ which developments ??? Ushuzi mtupu
Umekasirikaππππ
So huna imani na daily nationπππUmeleta tweet ..
Ni swali nimekuuliza and so what
I trust daily nationSo huna imani na daily nationπππ
I trust daily nation
Leta percentage ya Tanzania ya sewage connection tucompare numbers
That is all
Tunaskia raha hvoππππ
Hela za wakenya ndio zinawaeka hao jamaa mjini....endeleeni kulima tu sisi tutanunua angalau mpate hela za kujikimu hko ldcWakenya tumawalisha sisi ndio mnakuja kupata nguvu ya kututukana humu, pumbavu Nyie muwe na adabu,
Sifa za ki ldc hzo....ongeza na pesa za ndaniUwiiiii, Kenya inabaraka?, unachekesha watu, nchi iliyojaa Tribalism, corruption, insecurity, hunger, terrorism, clans clashes and draught bado unaita baraka, mungekua na ardhi yenye rutuba na MADINI kama huku ungesema nini?, kuhusu watu mashuhuri;
1) Julius Nyerere
2) Salim Ahmed Salim
3) Asha Rose- Migiro
4) Prof. Anna Tibaijuka
5) Mbwana Samatta
6) Diamond Platnumz
7)Ally Kina
Kenya huwezi kulinganisha na Tanzania, nchi yenye amani na umoja, kwenu huko watu wanauliwa kama kuku, Mimi nikifika Kenya huwa sitoki ninakaa ndani hadi siku ya kurudi.