Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
BEC24149-D878-4DB7-979A-B94625059949.jpeg
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ robo ya kenya inamilikiwa na kenyatta

 
Wakenya tumawalisha sisi ndio mnakuja kupata nguvu ya kututukana humu, pumbavu Nyie muwe na adabu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hela za wakenya ndio zinawaeka hao jamaa mjini....endeleeni kulima tu sisi tutanunua angalau mpate hela za kujikimu hko ldc
 
Uwiiiii, Kenya inabaraka?, unachekesha watu, nchi iliyojaa Tribalism, corruption, insecurity, hunger, terrorism, clans clashes and draught bado unaita baraka, mungekua na ardhi yenye rutuba na MADINI kama huku ungesema nini?, kuhusu watu mashuhuri;
1) Julius Nyerere
2) Salim Ahmed Salim
3) Asha Rose- Migiro
4) Prof. Anna Tibaijuka
5) Mbwana Samatta
6) Diamond Platnumz
7)Ally Kina

Kenya huwezi kulinganisha na Tanzania, nchi yenye amani na umoja, kwenu huko watu wanauliwa kama kuku, Mimi nikifika Kenya huwa sitoki ninakaa ndani hadi siku ya kurudi.
Sifa za ki ldc hzo....ongeza na pesa za ndani
 
Back
Top Bottom