ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Na yote roho mbaya ilianzishwa na mkenya baada ya kujitenga na kua mbinafsiIf at all kungekuwa na kuaminiana kuacha nationalist politics nk hii region ingekuwa moto kuliko region yeyote ya Africa ila ndio hivyo tena naona kila mmoja anavuta kwake hata ile miradi ya pamoja ya kimkakati sioni tena


