Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Halafu hii kauli ya kusema pemba itakua Kenya ni uzembe. Kumbuka Visiwa vya Pemba vilikua nchi, kama ilivyo madagascar, je utasema madagascar ipo msumbiji? au lesotho ipo sa? Hizo ni original boundaries which means Zanzibar ina boundary yake na ilipoungana na Tanganyika wakamerge boundaries, so kenya wanapoteza muda kuisakama TZ. Wao wajiandae tu kua land locked countryKenya wapo sahihi huoni kama eneo lao limeminywa. Nawashauri wakenya wasikubali kuachia ilo eneo. Ukifatisha matakwa ya Somalia basi Pemba itakua Kenya.