Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

heheee...double stack..land compesation..china class one train...umeona kwanza station ya mai mahiu...ni balaa..yani kitu modern..si km hzo choo zenu za kanjo nairobi...bwahaaaaa...

eti kubana matumizi..madhara yake ni kumchora twiga kw mkaa...safari za mumbai ni lini au bado mnasafirisha nyama wazee wa pesa za ndani...
Ongezea na electrification

Sent using Jamii Forums mobile app
 
heheee...double stack..land compesation..china class one train...umeona kwanza station ya mai mahiu...ni balaa..yani kitu modern..si km hzo choo zenu za kanjo nairobi...bwahaaaaa...

eti kubana matumizi..madhara yake ni kumchora twiga kw mkaa...safari za mumbai ni lini au bado mnasafirisha nyama wazee wa pesa za ndani...
China class one ndio hio😆😆😆😆
19.4 trillion mombasa to kisumu 820km nimenyoosha mikono aisee😆😆😆😆 lazma mutakua na laana nyie
Mbona haikwenda malaba tena ?? Uganda kachomoa😁😁😁😁
 
Electrification ya wapi na umeme hawana [emoji38][emoji38][emoji38] kwanza ku advance hio reli kwenda kwenye electrification gharama yake sio mchezo, mchina kawabaka safari hii
Najua.. ata hiyo kisumu bado wanalialia kwa mchina awaonee huruma. Malaba imesha sahaulika, trilioni 19!! Bado riba. Dar - Mwanza zaidi ya Km 1,000 tunajenga kwa almost nusu ya hiyo pesa halafu electrified.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
China class one ndio hio😆😆😆😆
19.4 trillion mombasa to kisumu 820km nimenyoosha mikono aisee😆😆😆😆 lazma mutakua na laana nyie
Mbona haikwenda malaba tena ?? Uganda kachomoa😁😁😁😁
povuuuu..utalia sana..kuja uone vituo vya kisasa utoe ujinga...kumuelewesha chizi utajipa tabu.. siko hapa kukuongezea mda wa vi emoji...
 
Najua.. ata hiyo kisumu bado wanalialia kwa mchina awaonee huruma. Malaba imesha sahaulika, trilioni 19!! Bado riba. Dar - Mwanza zaidi ya Km 1,000 tunajenga kwa almost nusu ya hiyo pesa halafu electrified.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
siwezi jadili mada na wewe ukiwa na huyo mijinga wa vi emojis..heri nikamueleweshe tuusan...

papayo....deal na mwenzako..deal na hawa wasee
 
siwezi jadili mada na wewe ukiwa na huyo mijinga wa vi emojis..heri nikamueleweshe tuusan...

papayo....deal na mwenzako..deal na hawa wasee
Nakuambia hawa vijana wawili wa gongo la mboto ni washenzi kuruka. Wanashinda hapa usiku na mchana kuandika ujinga sijui kazi wanafanya saa ngapi. Huenda bado waishi na wazazi na kulishwa weetabix. Kwa hii forum the only sane Tanzanian is Tuusan. You can hold a very sober conversation with him hawa wengine ni vilaza tu
 
Failed state gdp $100b
Kisiwa cha amani na kula kinyesi $60b
Koroshow
Stalled sgr
ATCL tukaambiwa inaanza safari za mumbai septemba mwaka jana sa tuko April 2019
Jumba refu eac lipo Nairoberry 😀😀
Nimeamua kuchungulia humu nikijua mtakimbilia kujiliwaza huku baada ya IMF report.
 
1067652
 
Failed state gdp $100b
Kisiwa cha amani na kula kinyesi $60b
Koroshow
Stalled sgr
ATCL tukaambiwa inaanza safari za mumbai septemba mwaka jana sa tuko April 2019
Jumba refu eac lipo Nairoberry 😀😀
Nimeamua kuchungulia humu nikijua mtakimbilia kujiliwaza huku baada ya IMF report.
hahahaha, now Kenyans lets stop this thread i think we are now wasting our time here, we have already prove the point,
sisi tunafanya kazi, tunalipa ushuru, mbona tuendele kupoteza wakati hapa,
 
povuuuu..utalia sana..kuja uone vituo vya kisasa utoe ujinga...kumuelewesha chizi utajipa tabu.. siko hapa kukuongezea mda wa vi emoji...
Kazi yenu nyie ni kujua GDP lakini kujua watu wanakufa na njaa hio hamujui failed state😆😆
 
Failed state gdp $100b
Kisiwa cha amani na kula kinyesi $60b
Koroshow
Stalled sgr
ATCL tukaambiwa inaanza safari za mumbai septemba mwaka jana sa tuko April 2019
Jumba refu eac lipo Nairoberry 😀😀
Nimeamua kuchungulia humu nikijua mtakimbilia kujiliwaza huku baada ya IMF report.
GDP hewa isokua na msaada kwa taifa watu turakana wanakufa na njaa, miji mikubwa maji hakuna, watu wanshindwa kulipia matibabu alaf unazungumza GDP😆😆😆😆
Jumba refu pamoja na mnara alaf no of floors 31 urefu uliobakia mnara juuu👏👏👏
 
hahahaha, now Kenyans lets stop this thread i think we are now wasting our time here, we have already prove the point,
sisi tunafanya kazi, tunalipa ushuru, mbona tuendele kupoteza wakati hapa,
Hamuwezi ikwepa hii thread walikuwepo wenzako kama ww wakina wanjala 😂😂😂 walishindwa hii thread imewatia aibu kubwa sana na lazma muipitie kujua sasa sio ile tz ya 90s
 
Back
Top Bottom