RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,884
- 129,916
Mwaka gani inajengwa hii?
Mwaka gani inajengwa hii?
2059 mkuuMwaka gani inajengwa hii?
2059 mkuu
Kwanini una hate hivyo?2059 mkuu
Endelea kuota andaeni deni lingine la mchina lamu port ksh 2.5trillion 👇👇👇👇👇2059 mkuu
Kinachowaumiza ni kuona maendeleo yanakwenda kwa speed wakat kwao wana miaka 50 wakijenga nchi yao na hakuna walichofanya cha maana😆😆😆😆Kwanini una hate hivyo?
Uchumi wa Ethiopia haiwezekan tegemea djibout pekee,Lamu iko palepale,Mumefikia wapi na bagamoyo pot? maana port imewashindaEndelea kuota andaeni deni lingine la mchina lamu port ksh 2.5trillion 👇👇👇👇👇
Big white elephant in the world
Ethiopia kashajitoa😂😂😂😂
View attachment 1061012
Kadaraja ka tazara kamewamwaga makamasi ndo mtajenga hiyo project? Mtaishia kuona kwenye nchi za wenzenu na kwenye video tuuHapana 2119
Hate ya Nini mzee? Hiyo project utaishia kuiona kwenye video,hamna huo uwezo labda 2059Kwanini una hate hivyo?
Sio mm soma article hio na ethiopia washafanya investment za kufa mtu djibout so endelea kujipa matumaini😆😆😆😆😆👇👇👇👇 hio ndio itakua the biggest white elephant in the worldUchumi wa Ethiopia haiwezekan tegemea djibout pekee,Lamu iko palepale,Mumefikia wapi na bagamoyo pot? maana port imewashinda
Unawasiwasi sana na tanzania inakunyima usingizi😆😆😆😆😆 raha sana kuona munavowewesekaKadaraja ka tazara kamewamwaga makamasi ndo mtajenga hiyo project? Mtaishia kuona kwenye nchi za wenzenu na kwenye video tuu
Ulichoandika hapo juu kinaonyesha una chuki na hii nchi. Utajipa magonjwa yasiyoambukiza bure.Kadaraja ka tazara kamewamwaga makamasi ndo mtajenga hiyo project? Mtaishia kuona kwenye nchi za wenzenu na kwenye video tuu
Hate ya Nini mzee? Hiyo project utaishia kuiona kwenye video,hamna huo uwezo labda 2059
Nishamuelewa hatanipa tena shida.Kinachowaumiza ni kuona maendeleo yanakwenda kwa speed wakat kwao wana miaka 50 wakijenga nchi yao na hakuna walichofanya cha maana😆😆😆😆
hatred kills2059 mkuu
Unawasiwasi sana na tanzania inakunyima usingizi😆😆😆😆😆 raha sana kuona munavoweweseka
Sio will never, ishaanza kua overtaken tayari hatuzungumzi habari ya mamabo yajao tunazungumza sasa hvi😂😂😂😂😂 jiji zima lina fire station mbili 😆😆😆😆 uhuru kaiacha nchi inapumulia makalioSo now how do you feel knowing your country will never overtake Kenya,
Umenichekesha hiyo cement modification/stabilization kuimprove engineering stability properties