thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Sasa ndiyo uone watu walivyo serious na kazi zao. Usisahau na wale wachungaji wenu walio hisi Tz ni shamba la bibi walivyo furumushwa na ng'ombe zao kupigwa mnada. Ukweli hao wapokot mnao wapa promo wakijaribu ujinga wao kwa Tz mtarudishiwa majivu.Vifaranga vilikua vimenunuliwa na mtanzania akaziacha pesa Kenya Kwa hivyo aliepoteza mtaji wake ni mtanzania my friend.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app