Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waipateje kwanza...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Serikali yao haijui vitu vizuri...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hapa wanaona maruerue tu, hawaamini Tanzania inapiga hatua kubwa kila kuchwao, juzi nilishangaa jinsi walivyopigwa na butwaa kwenye zile finesheet za traffic barabarani hawajui kuna hii kali zaidi, hii system driver akizidisha mwendo unaopaswa kwenye eneo husika iwe ni 30kph au 50 kph au 80kph system itampa warning automatically mara ya kwanza, mara ya pili ikipiga kengele mara ya 3 ni driver atapigwa fine na licence yake itakua barred

Ikumbukwe hii system anakua nayo mpaka mmliki wa bus kwenye simu yake kwenye app, haonewi mtu.
 
Hapa wanaona maruerue tu, hawaamini Tanzania inapiga hatua kubwa kila kuchwao, juzi nilishangaa jinsi walivyopigwa na butwaa kwenye zile finesheet za traffic barabarani hawajui kuna hii kali zaidi, hii system driver akizidisha mwendo unaopaswa kwenye eneo husika iwe ni 30kph au 50 kph au 80kph system itampa warning automatically mara ya kwanza, mara ya pili ikipiga kengele mara ya 3 ni driver atapigwa fine na licence yake itakua barred

Ikumbukwe hii system anakua nayo mpaka mmliki wa bus kwenye simu yake kwenye app, haonewi mtu.
Dooh aisee ni noma sana kwenye masuala ya transiport watapata tabu sana hawatoiweza TZ milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
i have been saying this for so many years that few places which are well developed with good infrastructures are those which are dominated by kikuyus(central kenya).

Screenshot_2019-01-09-11-04-08-962_com.twitter.android.jpeg
 
Back
Top Bottom