mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Kwa investment zilizofanywa Tanzania kwa miaka 3 iliyopita, wakenya tumewaacha mbali sana...yani tusubiri effects za hizo investment zianze kuzaa matunda tuone tulivyowaacha mbali!!
Tunachofanya kwenye huu uzi ni kuwaandaa kisaikolojia ingawa wanajifanya wakali.


