hahahhahahahahhahahahahahHehe hii hapaView attachment 962899
VS Dar es Salaam ya 2016Nairobi ya 80s ndio hii picha ya 2018 ata hio cbd umepost haiko hapa no upperhill Nairobi robo ya Westlands ....lazima leo upumulie kwa mashinepale mhumbiliView attachment 962769
Alafu utaskia wakisema,"mtaumia Sana"hahahhahhahahhahahhahahhaa
View attachment 962895
Kwa Dar hii ni sawa na eneo moja tu la Upanga
Ntafika NBO ila ningependelea zaidi niendeshe mwenyewe ...hadi nijipange niweke mambo yangu sawa kwanzaMibongo saa zingine vichaaa sasa nini haswa itatuma tuumie hapokuwanga serious kijana na utembee kidogo
Endelea kujifurahisha..hii unafikiria ni ile ya unemployment rate ya 2%
Hapa umeua jamani wahurumie bingo inakaa Soviet era mbavu zangu
Msee yani ata Nusu ya westy haifikii ..hahahhahahhahaaaaaaaa
Hyo pia atasema ulete ushahidi km hapo ni dar meanwhile barabara kw suburb hyo...Uhuru road darislumView attachment 962107
Sifa yake kuu ni ubishi na chuki dhidi ya wakenya
Uhuru highway Nai
Wacha kulia basi pangusa machozi babaaa!!!Ndege za kwetu wenyewe hata zikipiga route za ndani,who's gonna care!!..tungekuwa tume-lease kama nyinyi tungeanza kuwa na wenge maana muzungu anataka chake ye hajui kama umepata faida au hasara!so sad!
Povu rukhsa...Unajua kusoma???
Ebu soma hiyo habari kwa sauti
kwanza hii iko na kariakoo yoteMbavu zangu hii ndio wanasema tunaumia....mungu aendelee kuniweka Manisha marefu nizidi kuona maajabuView attachment 962909
!!!yani kwenu city ni government buildings tosha...mpewe kofia na kanga za kijani na mpikiwe mpunga...mwisho c hoyeeee....duh!!yani kenya ya 90s..unadanganywa na chakula kweli..According to you