Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tractor Mzee, hii Mersey Furguson inafanya nini kwenye international airport!? Lakini nyinyi!!!!!
View attachment 960858

🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo Mr Wanjala hapa kwenu ni shamba la njegere nini, Hii tractor inafanya nini Jomo Kenyatta International Airport

IMG_6223.JPG



IMG_6222.JPG
 
Club florida iko maeneo ya light house mombasa niliingia siku moja nilicheka sana club juu makuti hehehe club inanuka haina mfano😂😂😂😂👇👇👇 ndio inasifika mombasa nzima na inasemekana kama hujafika hii club hujafika mombasa😁😁

View attachment 961052View attachment 961053
Club florida iko maeneo ya light house mombasa >>> FALSE
niliingia siku moja nilicheka sana club juu makuti hehehe club inanuka haina mfano😂😂😂😂👇👇👇 ndio inasifika mombasa nzima na inasemekana kama hujafika hii club hujafika mombasa😁 >>> This must be Casablanca you are talking about.

wachana na hearsay. you have never been to Mombasa, kama unaweza sema Nyali Bridge iko Dubai,,, sijui ni Mombasa gani ulifika.
 
Club florida iko maeneo ya light house mombasa >>> FALSE
niliingia siku moja nilicheka sana club juu makuti hehehe club inanuka haina mfano ndio inasifika mombasa nzima na inasemekana kama hujafika hii club hujafika mombasa >>> This must be Casablanca you are talking about.

wachana na hearsay. you have never been to Mombasa, kama unaweza sema Nyali Bridge iko Dubai,,, sijui ni Mombasa gani ulifika.
Asante kwa povu
 
Club florida iko maeneo ya light house mombasa >>> FALSE
niliingia siku moja nilicheka sana club juu makuti hehehe club inanuka haina mfano😂😂😂😂👇👇👇 ndio inasifika mombasa nzima na inasemekana kama hujafika hii club hujafika mombasa😁 >>> This must be Casablanca you are talking about.

wachana na hearsay. you have never been to Mombasa, kama unaweza sema Nyali Bridge iko Dubai,,, sijui ni Mombasa gani ulifika.
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇
686B1D95-52E0-493F-B71A-616F881A5857.jpeg
 
Ahahahhahaha endelea kujipa moyo hvo hvo😂😂😂😂😂😂👏👏👏 nimetoboa siri imekuuma sana😁😁😁😁
not really...
first of all, hakuna Club Lighthouse
second, Florida haina makuti na iko mbali sana na Lighthouse.
third, club yenye sifa ya "lazma ufike" ukiwa Mombasa ni Casablanca na ndio yenye top floor yake ina makuti...
lemme stop at that.
btw, lemme add the two clubs to my 'itinerary' this dec.... nataka kumwaga pesa huko mbaya sana this holiday
 
not really...
first of all, hakuna Club Lighthouse
second, Florida haina makuti na iko mbali sana na Lighthouse.
third, club yenye sifa ya "lazma ufike" ukiwa Mombasa ni Casablanca na ndio yenye top floor yake ina makuti...
lemme stop at that.
btw, lemme add the two clubs to my 'itinerary' this dec.... nataka kumwaga pesa huko mbaya sana this holiday
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇
Wewe hunidanganyi mm kuhusu mombasa
4CCA9953-ED64-4DFB-BCC4-3A375CEE9C1E.jpeg
 
Kwan nimesema nn mm nimesema iko maeneo ya light house au kiswahili kwako kigumu sana 😂😂😂😂😂😂
wachana na Lighthouse kisha uwache ku-confuse Casablanca na Florida.
siwezi kupa more information about those clubs coz najua utaenda kwengine kisha utumie info niliyokupa kumdanganya mtu mwengine
 
wachana na Lighthouse kisha uwache ku-confuse Casablanca na Florida.
siwezi kupa more information about those clubs coz najua utaenda kwengine kisha utumie info niliyokupa kumdanganya mtu mwengine
Ahahahhaha pole sana buda so tumekubaliana kua florida iko maeneo ya light house😂😂😂😂😂👍👍👍

Sasa leta club unayoiamini mombasa ipambane na arusha au mwanza utachagua wewe👏👏👏👏👇
 
Ahahahhaha pole sana buda so tumekubaliana kua florida iko maeneo ya light house😂😂😂😂😂👍👍👍

Sasa leta club unayoiamini mombasa ipambane na arusha au mwanza utachagua wewe👏👏👏👏👇
Nope. nimekwambia uondoe hilo neno "Lighthouse" maana hakuna Club hapo. Kisha Lighthouse iko Cbd.
Casablanca iko karibu sana na Lighthouse kuliko Florida.
Florida haina makuti na iko undergroud, ufukweni kabisa, wamefanya land reclamation kando ya bahari na kujenga ukuta.
club yenye sifa ya "lazma ufike ukiwa Mombasa ni Casablanca.
kuna sababu ya wanaojua wanaenda kufuata nini huko wanasema "lazma ufike"
again stop confusing Florida and Casablanca
 
Sasa leta club unayoiamini mombasa ipambane na arusha au mwanza utachagua wewe👏👏👏👏👇
Una wazimu au Kichaa????? Mwanza na Arusha ndio wadudu gani?????
hizo sio levo za Mombasa... labda ungesema dar au Capetown hapo ningekuelewa
 
Nope. nimekwambia uondoe hilo neno "Lighthouse" maana hakuna Club hapo. Kisha Lighthouse iko Cbd.
Casablanca iko karibu sana na Lighthouse kuliko Florida.
Florida haina makuti na iko undergroud, ufukweni kabisa, wamefanya land reclamation kando ya bahari na kujenga ukuta.
club yenye sifa ya "lazma ufike ukiwa Mombasa ni Casablanca.
kuna sababu ya wanaojua wanaenda kufuata nini huko wanasema "lazma ufike"
again stop confusing Florida and Casablanca
So hutaki ukwei au 😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇
1B8F6662-F52B-4A05-945D-5F25DBA90BD0.jpeg
 
Una wazimu au Kichaa????? Mwanza na Arusha ndio wadudu gani?????
hizo sio levo za Mombasa... labda ungesema dar au Capetown hapo ningekuelewa

Mwenzako kakimbia na kisumu yake sasa kama ww unajiamini leta club yoyote unayoiamini mombasa alaf uchague mwanza au arusha 😂😂😂😂 dont change topic plz
 
Back
Top Bottom