TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Yes the truth hurts kenya has high quality of life than tzthe truth hurts but bla bla blah is the truth
Yes the truth hurts kenya has high quality of life than tzthe truth hurts but bla bla blah is the truth
Lkni bado wako na high quality of life than tz hahahahahahahahanilie nini? nililie nchi ambayo half the population ni mafukara.
Inaaendelea miamba na mito sioPoor human development just like tz
mimi ninachotaka uniambie ni hiyo quality of life. Ni kama nini kwa mfano? Maana hata chakula tunawauzia sisiLkni bado wako na high quality of life than tz hahahahahahahaha
Nenda kasome halafu ndio urudi kwangu kunipa challenge maana naona hata huelewi maana ya quality of life ni nini.I utahangaika sana we know what you are saying but do you know what we are saying kenya has high quality of life than tz
Maybe wa kwao ni what we call beauty without brains. Wengine hutumia ushirikina ndio wapendwe.Hapo hawawezi taka kuskia....wanajitia hamnazo. Na naskia diamond pia ameangukia ka slay queen ya Nairobikiba pia alinyakua slayqueen wa Mombasa....Lol. huko tz hawajaona mtu
![]()
Lol.Angola has only met one criterion. GNI per capita. Low Life expectancy na education (illiteracy) nadhani ndio zinaifanya iwe LDC.Poor human development just like tz
poleNilipigwa ban kwa ajili ya walahi, walahi
Aiseh.... krkrkrkrWewe na yeye nani mbwa? Domo zito kama umemeza kokoto. Unaweza kuwa mkenya huna lolote.
true story bruh!Ukienda jukwaa la Kenya wa TZ tulikuwa tunawatukana sana kuhusu reli yao ila ndo hivyo
utashangaa sana....Dah! Kiremba? Safi sana. Natamani kuziona. Hayo ndo mambo, nilikua naangalia architecture ya afrika na aina ya majengo nikagundua sisi tuna matatizo makubwa. Mungu akijaalia tutajenga jengo kubwa linalofanana na ikulu ya Watemi wetu hapo dar. We needed this. I am for this. My inner patriotic is burning up.
makinika wewe. tulia tuli, kama unatumbuliwa jipuHizi sio picha bali ni michoro.
nilidhani uliacha utotoY'all welcome View attachment 949568
Lete picha sio michoro. Mbona huelewi Kiswahili wewe nyang'au?makinika wewe. tulia tuli, kama unatumbuliwa jipu
The ultra modern and the biggest library in africa anaebisha aseme hapa😂😂😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇
picha au render? kwani ulisikia ishajengwa tayari? wa wapi wewe nanii???Lete picha sio michoro. Mbona huelewi Kiswahili?
Kama huna picha kaa kimya.picha au render? kwani ulisikia ishajengwa tayari? wa wapi wewe nanii???
Wewe kila kitu league?nilidhani uliacha utoto
nimekuuliza ishajengwa tayari ili tukapige picha? mbona swali rahisi tuKama huna picha kaa kimya.