Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kasa
902377_0.jpeg
 
Wamekuja kugonga mademu wa kenya, nani ambae hajapata taarifa za kilio cha wanawake wa kikenya? Mfano ni Ali Kiba, kaja kaopoa kasepa. Kuna jamaa alikua anapiga story kwenye daladala jinsi alivyoshobokewa na demu wa kikamba na alomng'ang'ania mpaka akapata copy na kiTz n then jamaa akarudi zake. So hata wewe unaezakua una damu ya kiTz inarun through your veins
 
C nafikiri umesema umesoma tuliyo ya jadili Jana rudi tena usome utaona post el matador ya worldbank ikionyesha poverty rate ya kenya ni 29% na pia ambia wenzako wanionyesha penye kenya iko na highest crime rate in africa wakenya wanakufa njaa 2018 waonyeshe ndio game ikuwe fare c kunilemea mm pekee yangu
Ila nimeamua nikuamini wewe, okay nisaidie source yake
 
Back
Top Bottom